- Thread starter
- #81
halafuWachana na maghetto, wewe tafuta helaaaaaaaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafuWachana na maghetto, wewe tafuta helaaaaaaaaaaaaaaa
lazima adateGheto liwe kubwa spacious,kuwe na flat kubwa ya Tcl na dstv au azam,kabati la mbeo,dressing table uweke na vitu vya kike vingi, feni panga boy, picha za ukutani za frema iwemo na ya uyo unaemlenga, jiko la gesi zuri, music systeam, ka kampyuta, brenda,
Liwe safiiii taa za kudizain flani, ma airfreshi n.k kitanda kama cha hotel hiv sita kwa sita
Tuachane na shughuli kitandan tuongelee makazi (Geto)
Kuna kadada kamoja nlidate nako mwaka jana nakumbuka swali aloniuliza "una geto kali hiv alafu huna hata mke"
Tupeane maujanja ni Vitu gan vinahitajika GETO la kijanja ili mdada adate kwelikweli akiingia mara moja tu lazima atake kurudi au atake kuishi hapo kabis
[Wadada pia changien mnapenda Geto la mwanaume liwe na nini mpaka uamue kuweka makazi hapo]
Ni geto la aina gani linamdatisha mdada/mwanamke/mchumba
Tuambie kwa uzoefu wako
Funguka
Hivi Wewe unadhani kwetu Mimi nakosa hela ya Rasta...ya vocha..chips kuku...Sehemu nzuri ya kulala...Tena hata KAZi sifanyi nyingi....Yaaani maisha Swafi kabisa..Akamtolee mahari ili amuoe. Ili wasizini.
Mwanamke kuolewa ni kama kupata ajira. Kila kitu kimhusucho atambwagia mumewe. Plus status ya kuwa kaolewa.
Sio kuogopa dhambi.
Kabla ya kuolewa alikuwa anaumiza kichwa kuanzia kichwani(kama ni rasta) mpaka avaacho mguuni. Anaposema "nioe ili tusizini" ni mbinu tu
Huyo ni wewe,outlier. Kiasilimia mko wangapi akina nyie?Hivi Wewe unadhani kwetu Mimi nakosa hela ya Rasta...ya vocha..chips kuku...Sehemu nzuri ya kulala...Tena hata KAZi sifanyi nyingi....Yaaani maisha Swafi kabisa..
Lengo la kuolewa Ni kuanzisha familia yako ..Wewe na mwenzako muwe kitu kimoja..
Lengo la kuolewa Sio kubadili style ya nywele na eti unaenda kubadilisha mboga..
Labda Kama Dada zako unataka waolewe ili waache kusuka yebo...wavae mawigi ya malaki
Kwasababu huyo mwanaume anaweza Seema unyoe nywele...zimamkera.
PumbavuJust a clean house and bathroom.
Halafu ili nifurahie zaidi pawe na books and gaming PC.
Lamba mkund wake...madem weng wanapendaTuachane na shughuli kitandani tuongelee makazi (Geto)
Kuna kadada kamoja nilidate nako mwaka jana nakumbuka swali aloniuliza "una geto kali hivi halafu huna hata mke"
Tupeane maujanja ni vitu gani vinahitajika GETO la kijanja ili mdada adate kwelikweli akiingia mara moja tu lazima atake kurudi au atake kuishi hapo kabisa
[Wadada pia changieni mnapenda Geto la mwanaume liwe na nini mpaka uamue kuweka makazi hapo]
Ni geto la aina gani linamdatisha mdada/mwanamke/mchumba
Tuambie kwa uzoefu wako
Funguka
Ghetto langu liko hivo hivo kama unavyotaka. Tatizo hakuna wa kupika na kupasha kitanda joto. Tuyajenge sasaHakuna kitu kizuri kama kudate na mwanaume anayejielewa ana geto lake, kabati kitanda sofa, sufuria ndoo za maji jaba, kapeti yani unatamani tu kuhamia
Alafu amepangilia kwa usafi, siyo geto linanuka kaa nyumba ya mbuzi
Basi hata mapenzi yenu yanakuwa yananoga ile mnatembeleana mtu ana feel is a safe place to stay
Umesahau Tv ...kwani hampendelei?Hakuna kitu kizuri kama kudate na mwanaume anayejielewa ana geto lake, kabati kitanda sofa, sufuria ndoo za maji jaba, kapeti yani unatamani tu kuhamia
Alafu amepangilia kwa usafi, siyo geto linanuka kaa nyumba ya mbuzi
Basi hata mapenzi yenu yanakuwa yananoga ile mnatembeleana mtu ana feel is a safe place to stay
Mnnnh.Hakuna kitu kizuri kama kudate na mwanaume anayejielewa ana geto lake, kabati kitanda sofa, sufuria ndoo za maji jaba, kapeti yani unatamani tu kuhamia
Alafu amepangilia kwa usafi, siyo geto linanuka kaa nyumba ya mbuzi
Basi hata mapenzi yenu yanakuwa yananoga ile mnatembeleana mtu ana feel is a safe place to stay
Hiyo si ndo bait ya kuvutia tubinti kwa kuwaita wacheki series au movie?Umesahau Tv ...kwani hampendelei?
Mnnnh.
Mandoo ya maji tena?
Nani akachote maji?
Mnh hapana.Hadi Jaba....