Wanaume nao mjini kiuno!

Wanaume nao mjini kiuno!

kui

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2009
Posts
6,467
Reaction score
6,500
You're either a professional giver or a receiver, what happened to 'utakula kwa jasho lako', Jamani Mungu Alimaanisha ufanye kazi!, si ulitolee kitandani, naona kilichobaki sasa mfanye mazoezi ya kujifunza kukatika mpaka chini,...bai!
 
You're either a professional giver or a receiver, what happened to 'utakula kwa jasho lako', Jamani Mungu Alimaanisha ufanye kazi!, si ulitolee kitandani, naona kilichobaki sasa mfanye mazoezi ya kujifunza kukatika mpaka chini,...bai!

Ke or me
 
You're either a professional giver or a receiver, what happened to 'utakula kwa jasho lako', Jamani Mungu Alimaanisha ufanye kazi!, si ulitolee kitandani, naona kilichobaki sasa mfanye mazoezi ya kujifunza kukatika mpaka chini,...bai!

Wanawake wanaotaka mteremko huwa ndo mnalalamika mkifungiwa mirija ya mizinga,kutana na wabahili utazaa kwa uchungu,kula kwa uchungu na jasho utatoa
 
You're either a professional giver or a receiver, what happened to 'utakula kwa jasho lako', Jamani Mungu Alimaanisha ufanye kazi!, si ulitolee kitandani, naona kilichobaki sasa mfanye mazoezi ya kujifunza kukatika mpaka chini,...bai!
Umeanza......:wacko:
 
Wanawake wanaotaka mteremko huwa ndo mnalalamika mkifungiwa mirija ya mizinga,kutana na wabahili utazaa kwa uchungu,kula kwa uchungu na jasho utatoa

Si siku hizi dear, we take care of OURSELVELS!
 
Am about to start a class ya ME only!, kujifunza kukatika cause naona ndo kazi mnayoweza nowadayz!:wacko:
 
mhh, hizi tafsiri zingine za biblia, wacha niendelee kufanya yangu na hiki kimvua na kibaridii chake ni balaa,lazima utake yamoto.
 
Am about to start a class ya ME only!, kujifunza kukatika cause naona ndo kazi mnayoweza nowadayz!:wacko:
Hivi mnaongeleaga akina nani..? Maana sisi wengine tunaona mada za kugeneralize kila siku ..lkn ni watu tuna proffessional zetu nzuri, tunapiga kazi, kipato kipo, mademu tunakamua vizuri tu..unawaongelea akina nani..? Au in other words unaona ni sawa kugeneralize au ni waliokuzunguka wewe ndo wapo hivyo..? Maana unaongea hivyo as if ni wanaume wote wapo hivyo..! Tutaanza kuulizana hapa maeneo tunayoishi usikute mtu anakutana na vibrazamen vya kino na sinza anakuja kugeneralize hapa..!
 
Cuzzo you didn't know?!, Me nowadays wana approach kwa kuchungulia na kimachale wajue kwanza kama watapata ulaji au la!

You're bad cuzzo.

Imma squeal on you to auntie next time I see her.
 
Hivi mnaongeleaga akina nani..? Maana sisi wengine tunaona mada za kugeneralize kila siku ..lkn ni watu tuna proffessional zetu nzuri, tunapiga kazi, kipato kipo, mademu tunakamua vizuri tu..unawaongelea akina nani..? Au in other words unaona ni sawa kugeneralize au ni waliokuzunguka wewe ndo wapo hivyo..? Maana unaongea hivyo as if ni wanaume wote wapo hivyo..! Tutaanza kuulizana hapa maeneo tunayoishi usikute mtu anakutana na vibrazamen vya kino na sinza anakuja kugeneralize hapa..!

You know exactly what am talking about, wewe kama umejitosheleza good for you!, lakini kuna ME wengine kiuno ndo habari ya mujini!, :A S wink:
 
You know exactly what am talking about, wewe kama umejitosheleza good for you!, lakini kuna ME wengine kiuno ndo habari ya mujini!, :A S wink:
Unajua wakati mwingine ukiwa na cycle ndogo ya exposure inaweza kukufanya uone maisha kwa njia flani kumbe yapo tofauti sana, na yalivyo, embu jisome vizuri umetoa uzi ambao upo too general, lkn ukiungalia kwa jicho la tatu unakuelezea wewe ni mtu wa aina gani na unakutana na watu wa aina gani..!!!!
 
me ata sijaelewa kitu, au ni ile nyimbo ya rich mavoko nin? 'mujini musingi kiwuno'
 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom