mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Nimejaribu kufanya utafiti wangu miaka mingi sana kuhusu mahusiano,Uchumba hadi ndoa.Na nikajua humu nikaona kampeni za vijana kuhusu kukataa ndoa.
Ila Kwa Hitimisho langu ni kwamba chanzo Cha Usaliti,heshima ndani ya Ndoa au hata kwenye Uchumba kutokuwepo inatokana na mtu kupitia mahusiano mengi kabla ya kuwa na mahusiano mapya au kuingia kwenye Ndoa.
Mfano; Kuna wanaume Leo yupo na Huyu atampa Sifa zake,Kesho yupo na Fulani pia atamchoka na kumkumbuka wa Nyuma.
Vivyo hivyo Kwa wanawake,unaweza ukawa nae ukamfanyia jambo Fulani asilipende akaanza kumbukumbuka wa nyuma na kuanza kukulinganisha,mwishoe usaliti na dharau ndipo zinapoanzia.
Ila ukibahatika kukutana na mpenzi ambaye ni mgeni kwenye sekta ya Mapenzi mtaheshimiana sana na kila Mmoja kuona thamani ya nwenzake.
Wanaume wenzangu Kwa wanawake tuombe tukatane wote wageni na tujifunze kila kitu Kwa pamoja.Unakuta upo na mwanamke anakwambia nishike hapa,mara oohh nifanye Kwa hivi,Daahh Huyu ujue lazima ashazoeshwa alikotoka huko..
Na Wanaume pia unakuta Upo na mwanamke unaanza kuona hakupi ulivyovizoea huko Nyuma,mara kufinyiwa Kwa ndani,sijui nini,Yaani vurugu tupu, Hapa lazima utaanza kumsaliti mke wako au mchumba wako.
Ndoa ni ibada,ndoa upate mtu sahihi,Ndoa sio Ngono,Kuna mengi ndani ya Ndoa.
Nawasilisha
Ila Kwa Hitimisho langu ni kwamba chanzo Cha Usaliti,heshima ndani ya Ndoa au hata kwenye Uchumba kutokuwepo inatokana na mtu kupitia mahusiano mengi kabla ya kuwa na mahusiano mapya au kuingia kwenye Ndoa.
Mfano; Kuna wanaume Leo yupo na Huyu atampa Sifa zake,Kesho yupo na Fulani pia atamchoka na kumkumbuka wa Nyuma.
Vivyo hivyo Kwa wanawake,unaweza ukawa nae ukamfanyia jambo Fulani asilipende akaanza kumbukumbuka wa nyuma na kuanza kukulinganisha,mwishoe usaliti na dharau ndipo zinapoanzia.
Ila ukibahatika kukutana na mpenzi ambaye ni mgeni kwenye sekta ya Mapenzi mtaheshimiana sana na kila Mmoja kuona thamani ya nwenzake.
Wanaume wenzangu Kwa wanawake tuombe tukatane wote wageni na tujifunze kila kitu Kwa pamoja.Unakuta upo na mwanamke anakwambia nishike hapa,mara oohh nifanye Kwa hivi,Daahh Huyu ujue lazima ashazoeshwa alikotoka huko..
Na Wanaume pia unakuta Upo na mwanamke unaanza kuona hakupi ulivyovizoea huko Nyuma,mara kufinyiwa Kwa ndani,sijui nini,Yaani vurugu tupu, Hapa lazima utaanza kumsaliti mke wako au mchumba wako.
Ndoa ni ibada,ndoa upate mtu sahihi,Ndoa sio Ngono,Kuna mengi ndani ya Ndoa.
Nawasilisha