Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Teh teh! Ni kwa vile kuna wanasayansi ambao hawajawa certified! Lakini kiboko yao ni hili group la ;Mtume na nabii Mwingira,Mzee wa ufufuo Gwajima,Askofu Kakobe,Mh-mchu-Ask-Dk-mama Rwakatare n.k:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:!
haya bwana....
mimi damu naogopa
ngoja nikupe mtihani:
niambie ni kwanini BAGAMOYO,SUMBAWANGA,PEMBA,NA KIGOMA tunazigroup pamoja wakati wote tunapoamua kuzielezea?
na siku zote kumbuka ;Dawa ya moto ni moto,dawa ya maji ni maji na dawa ya Damu ni damu.........