Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 130
pole sana, uyo aliyekukera atakuwa anashabikia arsenal. siku arsenali akifungwa huwa nafurahi sana...hahahili tatizo sanasana liko kwa baadhi ya wanaume!utakuta katoka kuangalia mpira afu amefungwa anakuja amenuna,ana stress zake kibao na humo ndani hapakaliki hasira zote zinaishia kwa wake/wapenzi wao na cha ajabu cku hyo ht mechi mwanamke ananyimwa!cyo vizur jaman