Aha ha ha ha ha!! Pole sana, inabidi umshauri jamaa wako asiwe na ushabiki uliopitiliza dizaini hiyo. Mimi timu nayoipenda ikifungwa ndo kwanza nazidi kuwa mpole kwa wife ili anipe raha za dunia nijisahaulishe machungu ya kufungwa timu yangu. Mara nyingi timu nayoipenda ikifungwa basi mimi huwa nalipiza kumfunga mke wangu katika kale kmchezo ketu ambacho huleta raha na starehe kuliko mechi nyingine zozote duniani.