Nilimix mafail mkuu samahani .[emoji106] [emoji106] Nimekusamehe kabisa ila ukirudia nakuoa ili ujue kweli mi dume[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ucjali Mkuu nimekusamehe pia nimekuelewa sanaNilimix mafail mkuu samahani .
I thought wewe ndie mtoa mada ulinivoquote nikajua ni spirit ndo nimesoma tena uzi
Na ndio maana kuna post nimekujibu kuwa kwani wewe unataka usubiriwe kwa muda gani mamaa???
It wasn't my intention to abuse you friend sorry once again.
Cc Smart911 [emoji120] [emoji120]
[emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111]Ucjali Mkuu nimekusamehe pia nimekuelewa sana
Mwanamke una heshima wewe...I wish I kudi be your mume.Seriously sikujua
Kwa mara nyingine Naomba unisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] ...
Cc Smart911
Eeh...sorry agein!!Nilimix mafail mkuu samahani .
I thought wewe ndie mtoa mada ulinivoquote nikajua ni spirit ndo nimesoma tena uzi
Na ndio maana kuna post nimekujibu kuwa kwani wewe unataka usubiriwe kwa muda gani mamaa???
It wasn't my intention to abuse you friend sorry once again.
Cc Smart911 [emoji120] [emoji120]
Sorry ingekuwa chakula jamaa angeshashiba tayariEeh...sorry agein!!
Makinikia
We mpe tu bhana!!Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Kwa taarifa yako ni kwamba nilikuwa hotelini nimeagiza msosi nimetoka sijala nimeshiba sorry za MremboSorry ingekuwa chakula jamaa angeshashiba tayari
Makinikia
yan hapa kuna mtt nilimpanga akajaa nkamumba game akanichomolea eti ndo kwanza hata wiki haijapita nivumilie anijue fresh dah kishngo upande nikaitikia poahHabari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Kumbe wewe ni mwanaume [emoji87]aisee tafuta basha mkuu..Binafsi sina tatizo na kusubiri, ila shida yangu kwa Mademu ni pale ambapo anaponizungusha wakati najua kabisa kuna jamaa alikuwa anakula, sasa kwa nini yeye ampe halafu mimi anizungushe? Hapo ndipo shida yangu ilipo, kama demu angekuwa hagongwi hapo sina shida ya kusubiri au hata kusumbuliwa lkn kusumbuliwa na demu ambaye najua fika kuna jamaa anakula hapo kwangu ni pagumu, nashindwa kuelewa!
Sasa kwann tuchelewe? Unatongozwa ili muwe wapenzi. Yani mfanye mapenzi. Kipi huelewi hapoHabari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Kwaiyo sku ya kwanza tu ukampa papuchi?
Hehe ungembaka tu
Hiyo ilikua jaza ujazwe mkuu hakutaka kutoa bureyan hapa kuna mtt nilimpanga akajaa nkamumba game akanichomolea eti ndo kwanza hata wiki haijapita nivumilie anijue fresh dah kishngo upande nikaitikia poah
cha ajabu ndani ya hio hio wiki kanipiga kizinga cha sijui amepungukiwa na kodi kwenye txt nilichokifanya kwanza nikacheka kwa dharau then nikadelete na namba hapo hapo
yan sex hutaki mpaka tuzoeane kizinga anapiga kwa txt kavu kavu yan
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app