Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

Wanaume msiwe wanafki kwenye hili

kadogo2

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
3,144
Reaction score
5,077
No reforms no election

Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda

Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7

Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
 
Una miaka 27 ambayo baada ya miezi 6 utakuwa na 28.

Ukicheza kidogo tu, unaangukia ghorofa tatu huku jina lako linabadilika na kuitwa Mshangazi.

Sasa Mshangazi wewe:
1) Pesa huna
2)Mume huna
3)Watoto huna
4)Ramani huna
5)Connection huna

Sasa si bora tu, uyajemge na mwamba Ili mjue mnatoboaje mkiwa pamoja?
 
No reforms no election

Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda

Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7

Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Nakutabiria wewe dada..kama bado hujaolewa basi lazima uje kuwa single mother.
 
Una miaka 27 ambayo baada ya miezi 6 utakuwa na 28.

Ukicheza kidogo tu, unaangukia ghorofa tatu huku jina lako linabadilika na kuitwa Mshangazi.

Sasa Mshangazi wewe:
1) Pesa huna
2)Mume huna
3)Watoto huna
4)Ramani huna
5)Connection huna

Sasa si bora tu, uyajemge na mwamba Ili mjue mnatoboaje mkiwa pamoja?
Nimgande anioe wakati yupo kijana mwenzangu anajitafuta anataka kunioa hata ya mkeka mkuu
 
No reforms no election

Tuweni wakweli tu ndugu zangu
Hii unalichukuliaje kwangu mimi imenishinda

Unakutana na mwanaume anakwambia akuoe ukimuangalia bado uchumi umemchumu yaani kiufupi maisha yamempiga na ana miaka 34 hana kazi ya kueleweka yaani hata geto ana miliki godoro na nguo zake tu. Ubaya zaidi tayari ana mtoto, hebu waza hapo miaka tunapishana 7

Jamani msione kama tunataka wa mafanikio sana.. kwa umri wangu kuolewa na single father ambae ni broken bora nitafute kijana mwenzangu tuliepishana miaka 2-3 tukaanza maisha wote. Kuliko kujitumbukiza huko kwa single father broken mwenye stress zote

Kama ni ndugu yako wa kike au mwanao ungemshauri vipi??
Achana na hao ambao uchumi umewachumu njoo nikuoe binti
 
Nyote sawa, kama na Ke hana kitu basi hana ubavu wa kumdiss mwamba.

Mwanamke ukiwa above 25 yrs hakikisha na wewe una vinoti vijana wa hovyohovyo wasikusogelee.

Mpaka mtu broke namna hiyo anakufata means kaona anakumudu na kweli unakuta umemkubali na kaipekenyua mara kadhaa, sasa hapo nyote mnakua kapu moja.
 
Back
Top Bottom