Miss_Irene
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 320
- 456
- Thread starter
- #41
Eti eeeh!kutongoza hakuna fomula,,,,,,style hiyo usiyoipenda kwa wengine inawanasa vema tuu......so wala usiwe na hofu mwenye style yako ya kutongoza atakuja....
Eti eeeh!kutongoza hakuna fomula,,,,,,style hiyo usiyoipenda kwa wengine inawanasa vema tuu......so wala usiwe na hofu mwenye style yako ya kutongoza atakuja....
kabisa mdogo wangu.....fungu lako lipoEti eeeh!
Wanatongozana watoto!!Kwani weye wasemaje?
[emoji3][emoji3]Kwani kusema nimekubali na sijakubali sh ngapi? Yaani mtu kukuelewa hadi akulishe chakula au bia/soda?
Umenikumbusha mbali saaana,!!Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani mwanaume hawajui kucheza na hakili zetu(kina-dada)
Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?
Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijari siku mpaka siku
Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile
Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambilia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!
Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu
Sawa basi!!!Umenikumbusha mbali saaana,!!
Nimekuelewa vzr sana,
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani mwanaume hawajui kucheza na hakili zetu(kina-dada)
Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"
Bila shaka mkuu, kwani wewe hukwenda shule?Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
You may know now babyboo..
Alafu kingine hivi kabisa wanawake wa milolongo hiyo bado wapo? Na wewe mwanaume na ndevu zako bado unafuata hiyo milolongo yote kwa kipi?Mi naona kama wewe ndio una stress kiasi unatupangia namna ya kukutongoza. Sura yako na shepu havimpi mwanaume hamu ya kuprolong mambo yawe mareeefu, we kama umekubali jibu, kama hutaki si basi...hadi uje ulalamike?
Nimekubali bibie, wanawake siwawezi kwa madongo dahKwani uongo machizi wangapi wanazaa mtaani?
Mh. Putin kaa chini tafadhari (in Anna Makinda's voice)Mwongozo ndugu mwenyekiti.... [emoji112]
Demiss huyu tena, mweke katika list ya walioachwa na wapo katika mchakato.Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani mwanaume hawajui kucheza na hakili zetu(kina-dada)
Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?
Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijari siku mpaka siku
Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile
Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambilia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!
Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu