Wanaume mnaopenda Mpira

Wanaume mnaopenda Mpira

Kwa hapa umekosea, mama yangu mzazi ndie aliyenishawishi nipende kuangalia mpira nikiwa na miaka 8 japo mwenyewe haupendi hata kidogo ila aliniambia mwanaume asiyependa mpira hajakamilika.
Mmmh huyo madha naee[emoji4] [emoji4]
 
b96ba14b5d3448d482fff632f8ed28eb.jpg


I love football, general banter, ukimind nipige
[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Etiii naongopa kwelii? ?

Alafu mpira wa home unajua ambavyo haunogiii ....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Ukiambiwa uchague moja kati ya mpira na mama d wako
Utachagua nn?!
 
Sasa jee ...huyu husna analetaa mambo gani sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nyiee mmekutana wote mashabiki ndio maana
 
Bora watu wasiende kuangalia mpira
Wanawake pigeni marufuku kwani
Kuna shabiki mmoja kaangalia mpira nje timu yake ikafungwa bao 3 kwa 1
Kurudi home apewa papuchi ngoma haifanyi kazi kwa hasira na hamu hana
MPIRA UNA MADHARA KWA NDOA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira ni jipuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom