Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
- Thread starter
- #261
Mmmh huyo madha naeeKwa hapa umekosea, mama yangu mzazi ndie aliyenishawishi nipende kuangalia mpira nikiwa na miaka 8 japo mwenyewe haupendi hata kidogo ila aliniambia mwanaume asiyependa mpira hajakamilika.

Yeah nimekuelewa
Sent from my iDevice using Tapatalk

Mijicho kodoo
Ndio baba d wako huyoo

Mijicho kodoo
Ni kweli jaman tena og kabisa nimejioneaNdio baba d wako huyoo![]()


Etiii naongopa kwelii? ?
Alafu mpira wa home unajua ambavyo haunogiii ....
Kwahiyo Baba D mpira na huyo ninii sijui uliyotaja vitu viwili tofauti kwahiyo bora ukose hiyo kuliko mpira

Sasa jee ...huyu husna analetaa mambo gani sasa
nyiee mmekutana wote mashabiki ndio maanainaonekana hata mirinda nyeusi hujaionja mkuu Achana na football kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app

Mpira ni jipuuBora watu wasiende kuangalia mpira
Wanawake pigeni marufuku kwani
Kuna shabiki mmoja kaangalia mpira nje timu yake ikafungwa bao 3 kwa 1
Kurudi home apewa papuchi ngoma haifanyi kazi kwa hasira na hamu hana
MPIRA UNA MADHARA KWA NDOA
Sent using Jamii Forums mobile app
SwadaktaaaNdo maana Vanessa alikataa mapenzi ya kisela. Na huwa hayadumu maanaa hiyo siyo sifa ya mwanaume mwenye mke!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee...
Haya wee
Wee naeeSio Ngumu haiwezekani
Football is life it self
CantstopwontStop