Wanaume mnaoenda chini ya dakika 30, hivi mnajielewa kweli?

Kwani Ubaya nikisaidiwa na wengine? Mbona yeye anasaidiwa,? Aende tu me natafuta heshima ya feeedha, K sio mgodi. Pesa ndo heshima.
 
Kuna wanawake ukimpiga dudu dakika tano nyingi anakung'ata sio kila mwanamke wakumtia dakika zote hizo sjui lisaa dada ni wewe na sugu zajo za huko chini ndio maana mnaishia kuzibuliwa mtaro
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema kama kuku vile.

Wanaume wa type hii mnatuchosha ngoja tu niwamegee siri yani unakuta dakika 10 nyingi umeshamaliza, hivi mko serious kweli?

Na akichepuka usilete lawama maana unamuacha mtoto wa watu juu juu na muwasho akunwe na nani, aisee hebu tafuteni solution ya hii kitu.

Sijui ni vyakula mnavyokula au ni uvivu wengi wenu zero kabisa.

Hahaha basi kuna watu wataguswa sana na hii kitu, you can call me names and whatever ila kaujumbe kamefika.

Jumapili njema.
Dada we noma, yani usuguliwe dakika 30?mi wengi nikipiga hizo lazima amalize manake kabla sijaanza kazi nacheza na g spot hadi azirai kwanza kwa hii nikianza mishe zangu hata dakika 20 hazifiki mtoto keshajaaa.. Hizo 20 ni wale anakubeba anakulaza kitandani anakuvua nguo anaingiza dushe
 
ukitaka wa dizaini hiyo,uwe unawashauri wanywe/anywe energy drink kwanza,atatembea umbali hata wa saa bila kupumzika
 
Labda wewe una matatizo kuna wanawake wengine dk 15 wameshafika climax 2 times
 
Mwanaume kiumbe hatari yupo mbioni kupotea kabisa,ushoga wao,ulevi wao,nguvu zitoke wapi,wanashindia chips yai halafu hao ni wanaume WA dar tu
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema kama kuku vile.

Wanaume wa type hii mnatuchosha ngoja tu niwamegee siri yani unakuta dakika 10 nyingi umeshamaliza, hivi mko serious kweli?

Na akichepuka usilete lawama maana unamuacha mtoto wa watu juu juu na muwasho akunwe na nani, aisee hebu tafuteni solution ya hii kitu.

Sijui ni vyakula mnavyokula au ni uvivu wengi wenu zero kabisa.

Hahaha basi kuna watu wataguswa sana na hii kitu, you can call me names and whatever ila kaujumbe kamefika.

Jumapili njema.
huyo uliye mng'ang'ania bora umteme tu maana hayo sasa ni mateso tu anakupa. najua unachokomalia kwake pamoja na kushindwa kukugegeda unavotaka lakini unavumilia sababu yaaa.............
bas haya we vumilia tu ila ukizidiwa chepuka tu. huko utakutana na mafundi unaowataka wanajua kweli kupaka rangi.. utapendezajee!! CHEPUKA MWANA.
 
unakuta la kwanza dakika 10 duh
Bao la kwanza huwa halichelewagi ila kama hata hayo mabao mengine anawahi na wakati mwanamke uko fit na ni msafi...huyo ni Jipu.

However, nakushauri tu utafute namna ya kumsaidia huyo na sio kumponda. Mshauri awe anawatembelea wamasai wa Ngaramtoni huko Arusha, au Lokii siku za mnada wanakuwa na dawa za ukweli za kuimarisha mishipa na kutibu hilo tatizo.
 
Bao la kwanza kawaida huwa halichelewi sana kwa watu wengi tu
ME HUWA SIJUI KUMWAGA MPAKA NIMSIKIE ANASEMA BAASSSS... BASSSSS TIYALIII.... BASSSS NIMEMALIZA....... BASSSS TUPUMZIKE.....
NDO NAPUMZIKA SIMWAGI MZIGO.....
NAMUANGALIA KAMA ANAWEZA TENA KUCHEZA GEMU YA PILI...:)
 
Back
Top Bottom