Heeeeee makubwa aya....
Poa!!!!!!
Mhhhhh
Nashukuru sana kwakunijulia hali
Shida sio jiwe kunipata mkouuu maneno yako sio sheria kwangu katuuu
Ohooooo aya mic you too
Sio kweli yan nmekumic sanaa
Unataka demu wako aje nitoboa macho ehneee
Kuna katabia kamezuka sana umu mmu...baadhi ya wanaume wakiona wamekosa vya kupost basii uamua kupost vitu vya kutupondea wanawake ................ivi mnazani maneno yenu ni sheria kwetu????.......embu mtuache tupumue jamani kaaaaaaah
Ulisinzia ehne???