Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Hahaaaaa mkuu njoo nikugawie papuchi yangu
Ha ha ha! Na kibamia changu utanichambua mpaka nibadili ID.
Hahaaaaa mkuu njoo nikugawie papuchi yangu
Hahaaaaa mkuu njoo nikugawie papuchi yangu
Itaeleweka tu.....unajua wat next ni mmoja akimwaga mboga mie namwaga ugali
Hahaaaaa mkuu njoo nikugawie papuchi yangu
Ha ha na ni kweli mkinyimwa papuchi pakumalizia hasira ni huku
Kuna katabia kamezuka sana umu mmu...baadhi ya wanaume wakiona wamekosa vya kupost basii uamua kupost vitu vya kutupondea wanawake ................ivi mnazani maneno yenu ni sheria kwetu????.......embu mtuache tupumue jamani kaaaaaaah
Heheheeeeeeeee amna lol siez bana
Hawawezi ishi bila wanawake ndio maana kila siku wanawawaza na kutuma thread kibao. Na hawawezi handle minor issues kwa kuwa wengi hawana vifua vya uvumilivu. So waache wapunguze stress otherwise suicide cases zitakuwa nyingi.
mmmmmmhhh!!!!
Mbona waguna
Ukitupa jiwe gizani ukasikia aaaiiiiii jua limepata mtu.
pumbav zao kabisa.