momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,041
- 2,140
Kuna katabia kamezuka sana umu mmu...baadhi ya wanaume wakiona wamekosa vya kupost basii uamua kupost vitu vya kutupondea wanawake ................ivi mnazani maneno yenu ni sheria kwetu????.......embu mtuache tupumue jamani kaaaaaaah
Hata mimi shem?
Umeona ehneee wakiona wametendwa na wapenz wao huko wanaleta asira zao umu wanaboa
Ndio maana na mm nkaandika ichi nlichojiskia kuandika afu maneno yako si sheria kwang plz
Haaaaaa wamezid bana kila saa wanawake tuu wenyewe hawajioni
Tusamehe bure, wengine ni stress za kukosa papuch
Haaaaaa wamezid bana kila saa wanawake tuu wenyewe hawajioni