Wanaume mna tatizo gani?

unatusingzia sio wote ila ukwel wangu nikikutana na dem hajui kujshughulsha kunako uwanja wa fund seremala mzuka huwa unakata kabsa hayo mambo yanahitaji ushirikiano kama vijana wa la masia ushindi lazma hebu jaribu kuonyesha ushirikiano
 

Mkuu siku hizi kwa sehemu kubwa tatizo linasababishwa na stress za maisha na wala si vyakula.
 
Sure haya matatizo saiz yamezidi na suala c mazoezi ndo humfanya mtu kuwa active ila pia vyakula tunavyokula ni vyanzo vya matatizo ila pia msongo wa mawazo sometimes wanawake mnasababisha msongo

Sababu kubwa zaidi mi nafikiri ni msongo wa mawazo kutokana na hali ngumu ya maisha,
 
Mmh mtatuua sasa tutafute hela,mzitumie bila huruma,tupigane na foleni na nyie tuwaridhishe na tusipo waridhisha mtunange "the world is not fair"

Hahahaaa umeongea kwa huruma maskini!! Ndio uanaume huo sasa you have no choice, tafuta tu mtu mtakaeendana mpunguziane machungu.
 

Hebu ni PM please
 

Hayo ni matatizo yatokanayo na usharo. Mtoto wa kiume donna, kisamvu, samaki, kuku wa kienyeji, makande tena mahindi yasiyokobolewa mwanamke unatoka nduki.

Mimi wengi hawanielewi, nakula kienyeji kweli huwezi kunikuta na burger au chipsi kuku tena wa kizungu. Eti chipsi mayai kah!

Mtiti wake ndo usipime baada ya vyakula vyangu nawamudu hata wake sita bila malalamiko ya aina yoyote.
 
tatizo mnaangalia mtu mbavu nene mnahisi na game kla kitandani lipo hivo....reli hubeba treni try it
 


Ulishawajaribu wote?
 

Tatizo nyie wanawake mnaweweseka sana na vijanaume vyenye sura nzuri kama za kwenu mkidhani vinakila kitu kizuri kama sura zao na ndo vikishashindwa kula mzigo vizuri mnatujumuisha wanaume wote
 
Achana nae, tafuta anayekupelekesha hadi mabao kumi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…