Ubuntu trusty tahr
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 326
- 228
hata kama we ni kipenzi changu ndo ushike simu yangu??..habari za leo wanajamvi.....jamani leo nimestaajabu.Leo nikiwa nimetolewa dinner na shemeji yenu mtarajiwa huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale nikapata simu ya msiba sasa kwa kua sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba lakini mwenzenu Ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla nimevutwa mkono yani mkono umenyongorotwa kidogo nitoe damu...Ile nataka kukimbia nayo nikavutwa mpaka mkono kidogo nivunjike. Hivi jamani wanaume mna nini ni vitu gani au siri zipi ambazo hampendi zijulikane naombeni kujuzwa
me huwa nampa na anaipekua balaa yake sasa ni mtihaniWewe ya kwako huwa unampa?
mnaitaji kututawala nyambaaahhhjhhffffKwa nini hukuomba? Hukutumia ustaarabu, halafu ulitaka ukimbie nayo[emoji15] [emoji15] [emoji15] angekuvunja tu mkono, hapo wala usingeweza kujitetea maana angesema ulitaka kumpora!
Wanawake kumbe mnakuwaga na vitimbi vya hovyo hivyo..
Usishindane na mwanaume, mwisho utaumia na kushindwa tu!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
ni kweli mkuu...tena roho inaacha mwili mchana kweupeNi bora umchezee Sharubu na vingine vyotee .lakini sio simu zao. Unaweza tolewa hata roho yako huku unajiona. kisa cm
nilimuomba sasa Ile nimeshika tuu akasema leta kwanza sasa namuuliza kwa nini hasemi anakimbilia kunikwidaUlimuomba au umechukua kama yako?
But ndio maana ikaitwa sim ya mkononime huwa nampa na anaipekua balaa yake sasa ni mtihani
[emoji30] [emoji30] [emoji30]Simu ya kushare ni ya mezani sio ya mkononi
Uache kukurupuka,,mkuu sikua na hilo wazo yani ndo niliona saiv nitalifanyia kazi
yani wakati ananinyongorota nikawa nataka kujitetea kwa kukimbia lakini ilishindikana kukimbia ikabidi tuu nimpe simu yake na sikufanikiwa hata kufanya nilichotaka kufanya kwa bahati nzuri nilifanikiwa kuchungulia kwenye call logs nikaona namba yangu hata hajaisavu...shikamoo mwanaume aiseeeeeHafu ujue hapa unaongea na wanaume??
Yani uchukue cm ili upate taarifa kisha ukimbie nayo??
Embu kua sirious, siku hizi madada wezi yawezekana ndio ilikua inasepa hivo, jamaa kakumbuka ya yule malehemu wa mwanza,.
Kama mimi walahi ungekimbia nayo ningekupigia yowe la mwizi na sasa hivi navojua tungekua tunacheza karata kwenu kisa upuzi wako.
Duh haya majibu hatari sana aisekwan kipind naenda kusajili line tulisajili wote? nikiambiwa naingia jela kisa simu tutaenda wote? we tulia baki na simu yako na mim nibak na yangu
Labda ana msg za kuuza sembe je?wanawake hua hamuwezi kutunza sili.kweni we umefikili nini?michepuko tu siyo?wanaume tunahangaika kutafuta maisha kwa njia nyingihabari za leo wanajamvi.....jamani leo nimestaajabu.Leo nikiwa nimetolewa dinner na shemeji yenu mtarajiwa huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale nikapata simu ya msiba sasa kwa kua sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba lakini mwenzenu Ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla nimevutwa mkono yani mkono umenyongorotwa kidogo nitoe damu...Ile nataka kukimbia nayo nikavutwa mpaka mkono kidogo nivunjike. Hivi jamani wanaume mna nini ni vitu gani au siri zipi ambazo hampendi zijulikane naombeni kujuzwa
ana bahati yani ningemshitaki akaozee jelaUache kukurupuka,,
Ukute simu ilikuwa na mawasiliano ya wazee wa unga
siri gani za maana....hao wanawake ndo siri mnajua siri kweli yani wanawake wenzetu ndo siri zenuLabda ana msg za kuuza sembe je?wanawake hua hamuwezi kutunza sili.kweni we umefikili nini?michepuko tu siyo?wanaume tunahangaika kutafuta maisha kwa njia nyingi
Wee ulitaka kusepa nayo.yani wakati ananinyongorota nikawa nataka kujitetea kwa kukimbia lakini ilishindikana kukimbia ikabidi tuu nimpe simu yake na sikufanikiwa hata kufanya nilichotaka kufanya kwa bahati nzuri nilifanikiwa kuchungulia kwenye call logs nikaona namba yangu hata hajaisavu...shikamoo mwanaume aiseeeee
ni shemu wenu ambaye nimeamua kutulia naeNi yule mume wa mtu anayekugonga?!
aiseeeee hiv madushe huwa hayachokiUkiona hvo ujue kuna
Wenzio wasiopungua 2
ni shemu wenu ambaye nimeamua kutulia nae