Wanaume mna nini na simu zenu?

kama mpenzi wake siruhusiwi kushika simu? jaman mbna wanaume mna kera yani nimeharibu hadi valentine yangu bora ningelala home tuu
Kuna tofauti kati ya kushika na kutumia, vyote vinahitaji umakini!
Simu ya mpenzi wako siyo mpenzi wako, inabidi kama unahitaji kutumia simu ya mpenz wako umuombe na siyo kutumia ubabe, naamini hata yeye hawezi kukosa busara na kuchukua simu yako na kuanza kuibofya bofya pasipo idhini yako..!
Simu hizi zina mengi, zinahifadhi mengi!
Unaweza kumharibia hata mwenzio kazi ukakosa ugali! Jifunze kitu hapo...
 
Asante mkuu Lakin ungeona jinsi alivyoninyonga ungenihurumia kwa kweli aiseeeee[emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
kwan kipind naenda kusajili line tulisajili wote? nikiambiwa naingia jela kisa simu tutaenda wote? we tulia baki na simu yako na mim nibak na yangu
Namuonea huruma mke wa kaka kama mambo ndio haya
 
Ukiona hvo ujue kuna
Wenzio wasiopungua 2
 
Simu ya mwanaume ni kama kitunguu MAJI ukiungalia kwa karb lazma utoe machozi!!!! Mimi waaaaaaaaaala hata kugusa tu
 
jamani wadau nimetokea kumpenda mume wa mtu sana sasa sijui nifanyaje na yeye pia ananipenda sana na anasema atanioa je nikubali au niolewe tuu na mtu mwingine.
niposerious

 
Hiyo co cm ya msiban
 
Asante mkuu Lakin ungeona jinsi alivyoninyonga ungenihurumia kwa kweli aiseeeee[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Pole mkuu, lakini ndio hivyo ujifunze hapo siku nyingine omba au jaza vocha ya kutosha kwenye simu yako ununue kifurushi cha mwezi, au hata ukiishiwa kopa, wanaume wengi hawapendi pale mwanamke anapojaribu kuonyesha ubabe!
Maana unaweza hisi umeonewa kumbe kosa ni lako...
 
Hafu ujue hapa unaongea na wanaume??

Yani uchukue cm ili upate taarifa kisha ukimbie nayo??

Embu kua sirious, siku hizi madada wezi yawezekana ndio ilikua inasepa hivo, jamaa kakumbuka ya yule malehemu wa mwanza,.

Kama mimi walahi ungekimbia nayo ningekupigia yowe la mwizi na sasa hivi navojua tungekua tunacheza karata kwenu kisa upuzi wako.
 
Umenena
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…