Wanaume mna laana

Rafki yngu mmoja yeye baba yake mzazi akakosea kupga sim kwa kimada wake akajua anaongea na baby wake kumbe ni mtoto wake hadi aibu kwa lana yake
 
Angalia wasije wakabadilisha venue alafu mtoto akaliwa kweli...

Watu wa namna hiyo wanakuaga na machale sana...


Cc: mahondaw
 
Aliwe tu na mimi nahakikisha analiwa huyo nduli sina shida mwanangu kuliwa ila aliwe na rika lake wapakane shombo sio huyo fala mwenye kashfa za kibamia mtaani,anatafuta watoto ili kiweze kufiti
Mtoto hulelewa na mtu mzima kiba100 ndo size ya mwanao mhugo kwa sasa hapna. Mbona wew kipndi kile yko ilitolewa na mbaba kwa chips yai?
 
MADEMU WA KIBONGO WANAVYOPISHANAGA NA BAHATI

12:00 nakuja
13:20 ndio naoga
15:50 navaa nguo
17:40 ndio natoka
18:30 nipo kwenye bajaji
19:20 babe sitakuja Mama ameniambia niwapikie wageni wanakuja....


Halafu ikifika miaka 38 hajaolewa anaanza kuwasumbua akina Mwakasege, Gwajima, Lusekelo wakuombee upate mume
wengine huenda kwa shekhe Juma kusafisha nyota huku akisahau kuwa nyota alishaichafua kule juu,ambapo ule muda alioupoteza kule juuu wenzake walitumia chance hiyo wakaolewa
huu ni uzwange Jr
 
Anaenda kuliwa mtu ambae ni mwanao this wkend.
 
Kuwa makini, mitego kama hii imewahi kuwaponza wategaji.
 

Aiseee!

Hatari kubwa!

Kuzoeana na ndugu sana ndio haya!

Hua najiuliza hivi ndugu mtu mzima anakujakuja nyumbani kwako kufanya nini bila kazi maalumu?What is this?

Ndio watoto wanabakwa na mjomba,sijui baba mdogo,sijui binamu,etc...Takwimu zinasema watoto idadi kubwa wanabakwa au kulawitiwa na ndugu wa karibu kabisa na familia,thats the truth!
 
Tafuta njia nyingine ya kumkomesha huyo baba mdogo,usifanye hiyo unayotaka utamtafutia laana mwanao.kingine na ww inaonyesha unachangamoto ya malez kwa mwanao
 
Mama namba ya Nancy tafadhari mm ni mtoto mwenzake
 
Mpumbavu huyo. Kabla ya kuliwa apimwe kwanza tezi dume
 
Naomba Mimi namba za nancy pliz miye mkubwa mwenzake!Afu huyu Nancy had I umkamate ndio aseme?Akiliwa babamdogo hakikisha jamaa wanadondosha kiasi cha pesa anachokudai kwa kujidai ni bahati mbaya zimedondoka
 
Pumba...vu kabisa we mwanamke (Nisamehe tu lkn) yaani unataka kutuunganisha na huyo mpuuzi!!!!Yaani amebakiza kukula wewe tu....Hebu kuwa mkweli hapa, je hajawahi kukuonesha ishara za kutaka kukula???
 
Kwa maneno haya inabidi aombe TOBA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…