Wanaume MMU tunakera sana

Wanaume MMU tunakera sana

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,850
Ukiingia humu kama wewe ni mgeni unashindwa kutofautisha nani mtoto nani mwanaume nani mwanamke maana wanaume wanashadadia mambo ya kike sana na tungekuwa tunaonana mngekuwa mnasutwa kila siku.

Mwanamke anaweza kuazisha uzi wenye mlengo wa kike na kaumbea ka kike lakini wanaume wanavyotupia comment unabaki unashangaa

Mwanaume umegombana na kamchepuko kako huko unakuja kutuambia ili tulie au tukuone unajua kutongoza ili tukusifie, halafu hayo masuala ya kujiproud ooh mara nilikuwa ofsini mara nadrive gari niko safarini kikazi.

Hayatuhusu sisi it is your personal issue wakati mwingine unajiuliza hivi wale vijana ambao hawana kazi hawaingii humu maana humu kila mtu ana ofsi ana nyumba anadrive.

Lingine mjue ile tabia ya kutongoza tongoza pm ni ushamba maana utatongoza vipi mtu humjui si bora umuombe mkutane umthaminishe ndo umtongoze, jaribuni kuleta mada ambazo zina kichwa na miguu na zenye kujenga na mjaribu kujitofautisha na ke.
 
halafu mjue mwanamke mjanja haangalii una kazi nzuri,nyumba au gari bali anaangalia kama una akili za maisha hata kama huna unaweza kutafuta sasa nyie wenzangu na mimi mnajiproud mnaishia kupigwa mizinga na kuja kulialia humu.
 
Jina la series = msutano , season 1 episode 4
Dhambi haiiish, kesho nawewe watakufungulia uzi tu, sababu huyu wa leo jana alimfungulia mtu uzi, na wa jana alifunguliwa uzi...revenge @work
 
Mkuu mtu ambaye hajawahi kufika tz, aishie tu kusoma comment za wanajf anaweza akahitimisha kwa kusema Tz ni nchi yenye maziwa na asali iliyobalikiwa kuliko hata mfalme suleiman. Kwamba raia ni so civilized n' informed, anaweza kuenda mbali akadhani Tz ni nchi ambayo imeendelea kiteknolojia toka zamani hata kabla ya yesu. Coment za wanajf unaweza ukareflect ndivyo sivyo make utaona kabisa kila mtz ana magari mengi mazuri, kasoma shule na chuo bora kabisa, ana nyumba na kazi nzuri. Yaani we acha tu Tz ni nchi yenye maziwa na asali.
 
sasa watajulikanaje kama wana magari au hujui kuna makabila tofauti humu kama hupendi usisome mtu anachangia kitu anachokitaka sasa kama kuna mada ya kike si ingevalishwa bikini hii ni jamii unafanya unachojisikia bila kuvunja masharti
huwezi kupeleka watu wote kama unamlazimisha mkeo tabia haibadiliki mtu aliyezoea kujisifia atajisifia hata kama yupo kwenye msiba hakuna dhambi ya kujisifia kama mwanaume unasomaje post za kike ? au kuna jukwaa kwa ajili ya wanawake ?
kama mtu havunji sheria aachwe
 
Jina la series = msutano , season 1 episode 4
Dhambi haiiish, kesho nawewe watakufungulia uzi tu, sababu huyu wa leo jana alimfungulia mtu uzi, na wa jana alifunguliwa uzi...revenge @work

haa kumbe watu wanalipizana visasi humu!!
 
Mkuu mtu ambaye hajawahi kufika tz, aishie tu kusoma comment za wanajf anaweza akahitimisha kwa kusema Tz ni nchi yenye maziwa na asali iliyobalikiwa kuliko hata mfalme suleiman. Kwamba raia ni so civilized n' informed, anaweza kuenda mbali akadhani Tz ni nchi ambayo imeendelea kiteknolojia toka zamani hata kabla ya yesu. Coment za wanajf unaweza ukareflect ndivyo sivyo make utaona kabisa kila mtz ana magari mengi mazuri, kasoma shule na chuo bora kabisa, ana nyumba na kazi nzuri. Yaani we acha tu Tz ni nchi yenye maziwa na asali.

Mkuu hata mimi nilikuwa najua kuwa Tanzania hamna tatizo la ajira kulingana na comment humu mpaka pale nilipojionea uwanja wa Taifa nikashangaa.
 
Jina la series = msutano , season 1 episode 4
Dhambi haiiish, kesho nawewe watakufungulia uzi tu, sababu huyu wa leo jana alimfungulia mtu uzi, na wa jana alifunguliwa uzi...revenge @work

kesho kitu kingine kosa moja uzaa kosa lingine
 
Mada ya so called Molembe ni ya hovyo hovyo kabisa!Kama MMU tuchangie kwa jinsia zetu ni vyema sasa mods wakabandika MMU mbili ya ME na KE

Rudia kusoma maana naona umekurupuka.
 
Last edited by a moderator:
haa kumbe watu wanalipizana visasi humu!!
Bado mdada aliyeandikwa hajajibu..tusubiri liuzi liuuubwa...halafu kati ya wale watatu madume walomfata PM sijui bado wangapi? ila watamwandikia pia.
 
Bado mdada aliyeandikwa hajajibu..tusubiri liuzi liuuubwa...halafu kati ya wale watatu madume walomfata PM sijui bado wangapi? ila watamwandikia pia.

Sihusiki kwa hayo otherwise ni umbea ambao ni kawaida yenu.
 
Back
Top Bottom