Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,319
- 4,350
Zingine laana tu, watu hamjui
35 + 25 + 50 = 110.Sio wengi hivyoo nope badhii calculation inasema asilia ya wanaume 35% ndio wanatunza familia yao kwa kutoa kila hitaji 25% wanatoa mahitaji baadhi sio yote na 50% wanaume hawa sio watoaji ni wanyanyasaji ikiwemo kupigwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe tumefeligi hesabu35 + 25 + 50 = 110.
Akikudharau mpeleke kwao akamfuate huyo anayempa kiburiLakini pia tukiacha masihara kuna muda mwanamke akiolewa anajisahau.. Inaweza fika kipindi hakuheshimu ukiwa mwaminifu sana anakuona mwanaume dhaifu lakini hakwambii.. Ila utaambulia dharau2... Ila Ukipata kamchepuko kabichi njee alafu akajua kidume kumbe ulikuwa unamwonesha sio kwamba unashindwa ndio anashtuka anaanza kukuheshimu mpaka sio vizuri... Cha msingi hapa nikutoacha kujali familia tu we somesha watoto wape kila kitu tena kama ni hela MPE wife na wao wakiwa wanaona..
Mpaka wife heshima irudi.. Ikirudi mpende mke wako na endelea kumweshimu mchepuko piga chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimpelekea unakua umempelekea mwanaume mwenzio.. Baki nae hapohapo ukimpeleka nyumbani nani ataangalia watoto?
Mkuu una malalamiko sana.
Wanaume wanaotegemea wanawake ni mamario nawashauri vijana familia nijukumu lako.Wanaume wa hivyo ni wapumbavu. Na wanawake wanaotegemea pesa ya mwanaume ni Wajinga na wavivu.
Ushauri wangu kwa vijana. Usioe Mwanamke Masikini. Hata usijaribu.
Wewe mdogo ndiyo maana huwa siji pm!