Wanaume mlioko kwenye ndoa mnisaidie hapa

Wanaume mlioko kwenye ndoa mnisaidie hapa

hapana k siyo ile ile ndo mana ile niya asha na ile ya mariam,ile ni dimbwi ile ni kavu,ile kitu mnato ile bangaloo kwahiyo k hazifanani lazima nitafute ladha ingine na mpya kwangu
tukiachilia mbali zile zenye magonjwa mpendwa k ni ileile, halafu ujue nae anakuvumilia? au unadhani wewe uko mpya?
 
Una uhakika gani kuwa Wanaume ndio wanaoongoza?

Hatahivyo vitu vinavyowafanya wanaume wengi wachepuke ni vifuatavyo:-

1) Kujisahau kwa mwanamke katika kujiweka swafi kimavazi,mfn kuvaa vizuri,na kuwa na zile swags alizokuwa nazo kabla ya kuolewa.

2) Kutokuwa MSAFI wa mwili wake na mazingira ya nyumba yake yaani chumbani na kwingineko.

3) KERO, UBISHI NA KUJILINGANISHA NA MUME,hili wanalo sana wanawake wasomi. yaani kujishusha,kukiri kosa au kunyenyekea kwake ni mwiko.

4) Kuwa mvivu kitandani,hata pale unapomfundisha utashangaa tu kusikia akisema mie nimechoka bana au naumia ujue...au aanze kuongelea habari za biashara zake au za kuhusu mambo ya mtoto wa shuleni na wakati si wakati wake.
kwanini uchoke kumbadilisha? kubadilisha tabia ya mtu sio kitu cha hapo kwa hapo inachukua muda smtms hadi mtu abadilike, mweleze mke wangu hapa iwe hivi ipo siku atakuelewa tu na sio kuchepuka
 
tukiachilia mbali zile zenye magonjwa mpendwa k ni ileile, halafu ujue nae anakuvumilia? au unadhani wewe uko mpya?
Kua uyaone zaa watoto wawili watatu hivi halafu uwe na bugu bugu hivi, ongeze kero kero kisha punguza heshima, ongeza uvivu uwe na kijiodo kudogo then uje utupe ushuhuda mpya kama mumeo hatacheat!!

Lkn si hilo tu kumbuka ya kua kiwanda cha mungu jinaprint vitu vipya na vikali zaid kuliko vya jana na juzi!!

Lingine ukubali ukatae wanaume ni wachache kuliko wanawake so sometimes tunawahurumia hao ambao hawajaolewa kwa kuwadunga hizo sindano, wanawake hebu muwe na huruma kwa wanawake wenzenu japo hata kidooogo tu!!

Hebu pia angalia jinsi mitego ilivyomingi kutoka kwenu jaman na sisi tunahisia sio kwamba wanaume hawafedheshwi na 'bambataa' yenu.

Mwisho kabisa kasome au google hapo 'ISAYA 4:1' ujionee mwenyewe
 
I'm all against hii tabia ya kuchepuka. Bahati mbaya kwa sasa ni jinsia zote zinashindana kuchepuka. Wengine ni waongo, wanawadanganya mabinti/vijana kuwa wapo single kumbe ni wake/waume na familia zao. Sasa ulioa/uliolewa ili iweje, shame!!
Lakini pia wapo wale wanajua kabisa huyu ni mume//mke wa mtu, yet wanafurahi kuwa sehemu ya kuiharibu nyumba ya mwenzake, anyway kila mtu na utashi wake. Lakini kuna maradhi....mnaotoka nje ya ndoa zenu angalieni msiwaletee wenza wenu maradhi na hiyo milaana mnayobeba huko!!!
 
Baadhi ya wanawake wakishaolewa wanajisahau.
1. Enzi mkiwa wapenzi mligegedana bila mashariti,ukiolewa unaanza kutoa papuchi kwa mashariti au ukijisikia.

2. Baadhi ya wanawake wakishaolewa, suala la usafi kwao linakuwa historia,Sara utamgegeda anaenuka?

3. Baadhi ya wanawake wakishaolewa wanakuwa wavivu kitandani,ukimgusa tu utasikia nimechokaaa.

4. Baadhi ya wanawake huwa wanajaribu kuoverpower wanaume zao,so mwanaume anatafuta sehemu ambayo atakuwa huru.

5. Baadhi ya wanawake wanasahau majukumu yao, mfano,Luna rafiki yangu kila siku anakula mgahawani wakati anamke ndani,so mgahawani kunageuka kuwa nyumba ndogo.

6. Baadhi ya wanawake in Padua kichwa ndani ya nyumba..........

7. Baadhi ya wanawake............
 
Umempenda mwanamke umemuoa means hadi umemuoa umeridhika nae na umekubali kuandamana naye tu wewe ni mume wa mtu sasa, kuacha kucheat kwa mkeo haiwezekani? Ukawa mwaminifu kwake hadi kifo kiwatenganishe haiwezekani?

Naongea hivi sababu wanaume ndo mnaongoza kucheat kwenye ndoa, kila kona wanawake wanalalamika mume wangu anacheat mume wangu anacheat mnasingizia asili, asili ipi hiyo?Nini kinachowafanya mchepuke wanaume? Kuna kipya ambacho mkeo hana?Tofauti ni nini wanaume?
one sided story.....
 
tukiachilia mbali zile zenye magonjwa mpendwa k ni ileile, halafu ujue nae anakuvumilia? au unadhani wewe uko mpya?
kubali ukatae k hazifanani over
 
Nd
Umempenda mwanamke umemuoa means hadi umemuoa umeridhika nae na umekubali kuandamana naye tu wewe ni mume wa mtu sasa, kuacha kucheat kwa mkeo haiwezekani? Ukawa mwaminifu kwake hadi kifo kiwatenganishe haiwezekani?

Naongea hivi sababu wanaume ndo mnaongoza kucheat kwenye ndoa, kila kona wanawake wanalalamika mume wangu anacheat mume wangu anacheat mnasingizia asili, asili ipi hiyo?Nini kinachowafanya mchepuke wanaume? Kuna kipya ambacho mkeo hana?Tofauti ni nini wanaume?
Ndoa nyingi hazina upendo WA dhati, wengi wameolewa/wameowa kwasababu tamaa ya kuoa/kuolewa
 
Umempenda mwanamke umemuoa means hadi umemuoa umeridhika nae na umekubali kuandamana naye tu wewe ni mume wa mtu sasa, kuacha kucheat kwa mkeo haiwezekani? Ukawa mwaminifu kwake hadi kifo kiwatenganishe haiwezekani?

Naongea hivi sababu wanaume ndo mnaongoza kucheat kwenye ndoa, kila kona wanawake wanalalamika mume wangu anacheat mume wangu anacheat mnasingizia asili, asili ipi hiyo?Nini kinachowafanya mchepuke wanaume? Kuna kipya ambacho mkeo hana?Tofauti ni nini wanaume?
Sio kila ndoa inaupendo WA dhati, nyingi ni maigizo
 
Sio kila wanaoana wote wamependana kweli, wengine wanaoa/olewa KWA vile Mr/Mrs right amechelewa au amekosekana
 
Naomba nikusaidie mtoa mada...Hiyo suala ya kucheat vs hiyo kitu havifanani hata siku moja...zipo sababu milioni katika hili.
Kwanza wanaume hatuoi kwa sababu ya lile tundu tu, forget about that! Tunavutiwa na vitu vingine vingi tu...lile tundu its just a complementary to the real mariage industry. Upo!?
Ukiachilia mbali tabia naweza penda umbile zuri, naweza penda macho yako yanavyokuwa wkti wa tendo, naweza penda miguno yako, naweza kiuona chako, naweza penda makalio yako, naweza penda kusikia sauti ya makalio yako yanavyopiga makofi wakati wanlile tendo, naweza penda harufu yako naweza penda structure ya ile sehemu husika ilivyo kuanzia nje mpaka ndani, naweza penda jinsi au namna ile tool yako inavyofanya kazi...tambua kuna tools nyingine zinabana, nyingine mdebwedo, nyingine zipo kama zina rababendi fulani hivi, zingine kama zina mageti, zingine kama zinatekenya fulani hivi wakati nyingine kama zinakwaruza.

Mwisho wa siku bi mkubwa unatakiwa kuwa mbunifu daily, sio upo upo tu style zile zile toka uchumba mpaka mnazaa watoto 8. Change, usiwe mtu wa kutabilika, leo mpe hivi kesho vile...leo mtekenye kesho.....leo mmeenda out wote then unasimamia mechi sio kila siku yeyetu ndiye mlipaji na anayekutoa out.....

Think outside the box, Kuweni wabunifu au baba akipata kitu out utaendelea kuleta mada za vilio hapa
 
Huu wako nii utafiti au ugunduzi?wa muda gani?maeneo gani?kama n umbea uachane nao...mjini APA ..
 
Tatizo mwajiriwa anajua kuwa kufukuzwa kazi ni process ndefu na pia hata aspoenda kazini mshahara upo pale pale,.. kibarua yeye atajitaidi kufanya kaz kwa bidii ili amridhishe mwajiri na akitega tu basi apati pesa
 
Tatizo mwajiriwa anajua kuwa kufukuzwa kazi ni process ndefu na pia hata aspoenda kazini mshahara upo pale pale,.. kibarua yeye atajitaidi kufanya kaz kwa bidii ili amridhishe mwajiri na akitega tu basi apati pesa
Tena ukiakijiriwa serikalini ( wanaume wapoleee) kufukuzwa kazi sahau.
 
ok sawa huyo wa nje anafanya mbwembwe,ndo ucheat? why usimwambie mkeo ajirekebishe pale alipokosea?

Ukimwambia ajirekebishe mfano ukimwambia azungushe kiuno vzr, anakujia juu na kukuulza umejuaje kama hazungushi vizuri??
 
Back
Top Bottom