Wanaume mlioko kwenye ndoa mnisaidie hapa

Emoj

JF-Expert Member
Oct 9, 2015
839
1,304
Umempenda mwanamke umemuoa means hadi umemuoa umeridhika nae na umekubali kuandamana naye tu wewe ni mume wa mtu sasa, kuacha kucheat kwa mkeo haiwezekani? Ukawa mwaminifu kwake hadi kifo kiwatenganishe haiwezekani?

Naongea hivi sababu wanaume ndo mnaongoza kucheat kwenye ndoa, kila kona wanawake wanalalamika mume wangu anacheat mume wangu anacheat mnasingizia asili, asili ipi hiyo?Nini kinachowafanya mchepuke wanaume? Kuna kipya ambacho mkeo hana?Tofauti ni nini wanaume?
 
Ulichokosea ni kutaka sababu ya kwanini watu wana-cheat....

Utapazipata nyingi sana
 
Umempenda mwanamke umemuoa means hadi umemuoa umeridhika nae na umekubali kuandamana naye tu wewe ni mume wa mtu sasa, kuacha kucheat kwa mkeo haiwezekani? Ukawa mwaminifu kwake hadi kifo kiwatenganishe haiwezekani?

Naongea hivi sababu wanaume ndo mnaongoza kucheat kwenye ndoa, kila kona wanawake wanalalamika mume wangu anacheat mume wangu anacheat mnasingizia asili, asili ipi hiyo?Nini kinachowafanya mchepuke wanaume? Kuna kipya ambacho mkeo hana?Tofauti ni nini wanaume?
we umeoa/umeolewa?
 
Aliyekudanganya wewe ukiandika hapa ndio watu wataacha kuchepuka ni nani ?

Maana sikuelewi kujitia ukaaali wakati simba na ukali wote bado anapandwa
hahhaaa pole mpendwa.siko na ukali ni vile tu kwamba kuandika nako kipaji.but hope umenipata
 
Unajua wanawake walio wengi wakisha olewa wanajisahau sana mambo mengi wanayafanya kwa mazoea tuu tofauti na ukiwa na mwanamke ambaye anajua kuwa una mke atafanya mbwembwe za kila aina ili amzidi huyo mkeo hivyo inafanya mwanaume huyo asipokua makini kuhamisha hisia zake zote kwa huyo mpenzi mpya
ok sawa huyo wa nje anafanya mbwembwe,ndo ucheat? why usimwambie mkeo ajirekebishe pale alipokosea?
 
Haya mliooa Tafadhali mje mtuambie n nini kinachowafanya msimtulize huyo athumani kichwa wazi tundu la utosi kwa wake zenu
 
ni pepo ndugu yangu! kama hakuna kumfuata Yesu ndani ya nyumba basi ujue shetani katawala! ni mapepo na watu kuyakubali yawaingie na hili swala sio la mwanaume tuu bali na wanawake! mjue aduni yako ni nani?
 
Back
Top Bottom