Wanaume mlioko kwenye ndoa mnisaidie hapa

Wanaume mlioko kwenye ndoa mnisaidie hapa

Michepuko mitamu balaaa yani anafanya vitu had unapenda ila sasa make Mara anune,kupika alike mdada Wa kaz, bado mchafu,kwenye bed unazinguwa tu unalala kama maiti hutikisiki,Mara umechoka, yani sababu nyinyi nyingi sasa si bora nimtafute mchepuko Nile vitu vitamu na kubembelezwa kama mtoto
Badilikeni mkiwa mjaolewa mnambwembwe ila mkishaolewa tu basis mbwembwe zote mnaacha mnajifanya eti mmekuwa ,kwenye kupeana raha hakuna kukuwa binuka weka mguu 90 degrees ili mwenzako aweze kufaidi
Ndiy mama waliyoowa wengi wanamichepuko yao ,wew huoni MTU anatoka kazini SAA kumi ila anakuja home SAA tano au NNE na bado wikend hakaliki home anaenda kupewa raha na kupata supu nzuri siyo wew asubuh tu umempikia michai ya rangi na mikate
Kwanza niishie hapa takuja baadaye
umesema vyema mpendwa. ila swali ni kwanini usimwelekeze mkeo kwamba mke wangu ee, ukifanya hivi itakuwa vizuri,ukinidekeza kama ulivyokuwa unafanya kabla hatujaona itakuwa poa. kwanini? maana ndoa ni kuelekezana. kuchepuka ndo suluhisho?
 
Sio wote tunapenda michepuko ,wengine tunawaheshimu wake zetu, hata hivyo michepuko inaongeza cost pia ina hatari ya kupata maradhi ya zinaa. Hasara ya kuwa na mchepuko ni kubwa kuliko faida zake
 
Sio wote tunapenda michepuko ,wengine tunawaheshimu wake zetu, hata hivyo michepuko inaongeza cost pia ina hatari ya kupata maradhi ya zinaa. Hasara ya kuwa na mchepuko ni kubwa kuliko faida zake
umenena vyema mpendwa
 
Wanawake wanachit sana kuliko wanaume ila wao wapo vizuri kwenye kutunza siri zao than how men are.....
 
KINACHOSABABISHA MKE AU MUME KUCHEAT, NI HALI YA KUTOLIDHIKA NA MME AU MKE ULIYENAE,MAANA BINADAM HATUJAUMBWA KAMILI KWA KILA KITU.. HUEZ KUMRIDHISHA MTU KWA KILA KITU.. HIVYO MTU HUTAFTA KILE AKIKOSACHO KWA MWENZIE, INAPOTOKEA MTU HAJACHEAT BAS KARIDHIKA TU ALIVYONAVYO MWENZIE.. NDO MAANA WAISLAM WAKAWEKA UTARATIBU WA KUOA HADI WAKE WA 4, ILI TU KUJARIBU KUKIDHI TAMAA, UKIPENDA MWEMBAMBA, MNENE,MWEUPE,MREFU,MFUPI, UTAWAPATA KATIKA WATU WA 4 HOPE NIMEKUJIBU.
 
Una uhakika lakini? Wana cheat na nani unahisi?
Kwa taarifa yako huku mtaani kwetu wanawake ndo wanaongoza tena live na waendesha bodaboda na wauza mkaa!
 
Umempenda mwanamke umemuoa means hadi umemuoa umeridhika nae na umekubali kuandamana naye tu wewe ni mume wa mtu sasa, kuacha kucheat kwa mkeo haiwezekani? Ukawa mwaminifu kwake hadi kifo kiwatenganishe haiwezekani?

Naongea hivi sababu wanaume ndo mnaongoza kucheat kwenye ndoa, kila kona wanawake wanalalamika mume wangu anacheat mume wangu anacheat mnasingizia asili, asili ipi hiyo?Nini kinachowafanya mchepuke wanaume? Kuna kipya ambacho mkeo hana?Tofauti ni nini wanaume?

Sio kila ndoa,imefanyika kwasababu ya mapenzi.Hata hivyo siku hizi kuchepuka ni sifa.
 
waeleze mpendwa,k ni ileile
hapana k siyo ile ile ndo mana ile niya asha na ile ya mariam,ile ni dimbwi ile ni kavu,ile kitu mnato ile bangaloo kwahiyo k hazifanani lazima nitafute ladha ingine na mpya kwangu
 
Una uhakika gani kuwa Wanaume ndio wanaoongoza?

Hatahivyo vitu vinavyowafanya wanaume wengi wachepuke ni vifuatavyo:-

1) Kujisahau kwa mwanamke katika kujiweka swafi kimavazi,mfn kuvaa vizuri,na kuwa na zile swags alizokuwa nazo kabla ya kuolewa.

2) Kutokuwa MSAFI wa mwili wake na mazingira ya nyumba yake yaani chumbani na kwingineko.

3) KERO, UBISHI NA KUJILINGANISHA NA MUME,hili wanalo sana wanawake wasomi. yaani kujishusha,kukiri kosa au kunyenyekea kwake ni mwiko.

4) Kuwa mvivu kitandani,hata pale unapomfundisha utashangaa tu kusikia akisema mie nimechoka bana au naumia ujue...au aanze kuongelea habari za biashara zake au za kuhusu mambo ya mtoto wa shuleni na wakati si wakati wake.
 
Sumu ya mapenzi maudhi, mahaba ya boy/ girl friend yanapotea baada ya ndoa kwanini ? Hapo ndo kuchepuka kunapoanza
 
Back
Top Bottom