Wanaume mkiondoka nendeni moja kwa moja.

Wanaume mkiondoka nendeni moja kwa moja.

Kama king'ang'anizi basi we mchune tu kipompa kimejileta unalia lia mchune hadi ela ya nauli atembee kwa miguu,hatorudi tena huyo
 
Ewaaaah sasa wewe si unabishaaa

Mm ni hatar kama wonder woman

Yan nakwambia saiv ni style mpya ya sex nakupiga vibao vya matakooo nakutia dole gumba nakwambia ndo nasisimka alafu baadae nadumbukiza limkono loteee mbn utakimbia mwenyeweee
Aisee
 
Ni ngumu kidogo kuna memories zinagomaga kutoka kichwani
 
Unaposema huko alikokuwa hapaaminiki kwa yeye mme wake alipoondoka aliziba pasipite kitu? Twende mbele na kuludi nyuma!
Mleta post ni nani kwani? mke au mume? Ukishalijua hilo rudia kusoma nilichokiandika kisha tafakari quote yako juu ya comment yako kisha jisahihishe mwenyewe.

Halafu hilo neno "kuludi" linaandikwa kurudi
 
Habari za mida?
Mimi ni mdada niliyewahi kutendwa na nikaumia sana sana sana hata niliwahi kuona maisha yangu hayana thamani yoyote.
Nilishawahi kujaribu kujiua mara kadhaa lakini ilishindikana. Maisha yakaendelea na nikazoea kidogo kidogo. Mwenzangu akaenda kwa wanawake wengine kwa sababu tu kuwa amenichoka.
Amebadilisha wanawake kwa karibia miezi saba sasa toka aniache. Kila wiki ana mpya hata akawa anapitia hadi wauza baa na wamama walioolewa. Sasa ametendwa na huyo mpenzi wa baa, amepigwa na kuumizwa sana na huyo msichana, amerudi tena kwangu kuwa mimi ndiye mtu wa kweli kwake, hataki niondoke maishani mwake. Muda huu hata hamu ya mwanaume sina kabisa. Nikimtazama kama mpenzi napata hasira na sifurahii kuwa naye.
Sasa namtukana lakini bado ameganda tu jamani. Wanaume mkitaka kuondoka nendeni kimoja, hata tukiwapenda vipi kuna muda mioyo yetu inabadilika khaaaaaaaaa....
Tumekusikia
 
Mleta post ni nani kwani? mke au mume? Ukishalijua hilo rudia kusoma nilichokiandika kisha tafakari quote yako juu ya comment yako kisha jisahihishe mwenyewe.

Halafu hilo neno "kuludi" linaandikwa kurudi
We unafikiri yeye ataandika maovu yake? Nimeelewa ndio maana nikakujibu
 
Habari za mida?
Mimi ni mdada niliyewahi kutendwa na nikaumia sana sana sana hata niliwahi kuona maisha yangu hayana thamani yoyote.
Nilishawahi kujaribu kujiua mara kadhaa lakini ilishindikana. Maisha yakaendelea na nikazoea kidogo kidogo. Mwenzangu akaenda kwa wanawake wengine kwa sababu tu kuwa amenichoka.
Amebadilisha wanawake kwa karibia miezi saba sasa toka aniache. Kila wiki ana mpya hata akawa anapitia hadi wauza baa na wamama walioolewa. Sasa ametendwa na huyo mpenzi wa baa, amepigwa na kuumizwa sana na huyo msichana, amerudi tena kwangu kuwa mimi ndiye mtu wa kweli kwake, hataki niondoke maishani mwake. Muda huu hata hamu ya mwanaume sina kabisa. Nikimtazama kama mpenzi napata hasira na sifurahii kuwa naye.
Sasa namtukana lakini bado ameganda tu jamani. Wanaume mkitaka kuondoka nendeni kimoja, hata tukiwapenda vipi kuna muda mioyo yetu inabadilika khaaaaaaaaa....
pole mwaya
 
Habari za mida?
Mimi ni mdada niliyewahi kutendwa na nikaumia sana sana sana hata niliwahi kuona maisha yangu hayana thamani yoyote.
Nilishawahi kujaribu kujiua mara kadhaa lakini ilishindikana. Maisha yakaendelea na nikazoea kidogo kidogo. Mwenzangu akaenda kwa wanawake wengine kwa sababu tu kuwa amenichoka.
Amebadilisha wanawake kwa karibia miezi saba sasa toka aniache. Kila wiki ana mpya hata akawa anapitia hadi wauza baa na wamama walioolewa. Sasa ametendwa na huyo mpenzi wa baa, amepigwa na kuumizwa sana na huyo msichana, amerudi tena kwangu kuwa mimi ndiye mtu wa kweli kwake, hataki niondoke maishani mwake. Muda huu hata hamu ya mwanaume sina kabisa. Nikimtazama kama mpenzi napata hasira na sifurahii kuwa naye.
Sasa namtukana lakini bado ameganda tu jamani. Wanaume mkitaka kuondoka nendeni kimoja, hata tukiwapenda vipi kuna muda mioyo yetu inabadilika khaaaaaaaaa....
Mwambie huyo huyo wa kwako,maana ujinga huo anao yy tu,labda sababu ni mvulana siyo mwanaume
 
KWANINI UNAMTUKANA!
ukimuacha mtu hata kugombana nae ni kazi!
unabaki kumuonea huruma since huna tena hasira,maumivu,mapenzi wala majuto kwake!
SO JITAZAME HAPO PA KUMTUKANA!
means bado una majuto,una uchungu,una maumivu na ni wazi kabisa mpka unaanzisha uzi manake na mapenzi kwake bado unayo!

SIIIIIIIIIIIIIIIIKU YA KUFIKA HITIMISHO LA HAYO UNAYOJISIKIA!
he will cause no harm!
MWILINI,AKILINI,MACHONI WALA MOYONI!
 
Asipokuwa makini kama ni mpenzi tu wa kawaida atamtenda tena na tena bora angekuwa na kiapo naye ungejitetea kuwa unatunza agano.
AGANO LILILOKWISHA VUNJIKA!
kulitunza ni ndoto ya alinacha!
 
Sikuwa na maana ya kupinga andiko lako nilikuwa naongezea tu kama unataka kumsaidia mtu mpe ukweri hata kama ni mchungu ili apone
Nafikiri ndicho nilichomweleza hapo, labda sikuekezea kwa kirefu sana.

OK Mzee baba
 
Yaliyopita si ndwele, mgange yajayo ilimradi kaomba radhi na inaonekana ni ya dhati kutoka ndani ya moyo wake.
 
We acha kutupiga fiksi hapa eti umejaribu kujiua mara kadhaa yaani kumeza piritoni ndiyo umejiua ungejiangusha kutoka juu ya ghorofa hadi chini....


Mrudie bhana mumeo anakupenda ujue..
 
Back
Top Bottom