Salama jaman my sis mbn umejiqoute mwenyewe nimewaza mbali mwenzio?Hahahaaa. Lol.
Nilijua tu sababu pale si tulikuwa tunapiga soga pale mie na weye.
Hahahaaa. Lol.Nilikuwa nawaz00m tu lol!
![]()
![]()
Hahahaa. Lol.Salama jaman my sis mbn umejiqoute mwenyewe nimewaza mbali mwenzio?

Si ndio hapo, nikajiuliza - isije kuwa umewekewa bodigadi anakuspy hahahaaaHahahaaa. Lol.
Nilijua tu sababu pale si tulikuwa tunapiga soga pale mie na weye.
Nikajua balaa gani tena hili mbalizi amekuwa hajarHahahaa. Lol.
Nisharekebisha mdogo wangu.![]()
![]()





Mbaya zaidi kila nikitaka kuingia ndani nakuta mlango umeufunga kwa ndani na redio sauti ya juu hadi nikikupigia simu huisikii hahaaaHahahaa. Lol.
Nisharekebisha mdogo wangu.![]()
![]()
Hahahaaa. Hapana rafiki. Ila uliwaza mbali lol.Si ndio hapo, nikajiuliza - isije kuwa umewekewa bodigadi anakuspy hahahaaa
Sana yaanHahahaaa. Hapana rafiki. Ila uliwaza mbali lol.
Sorry, wewe ni me au ke..??Pole sana The Donchop
Nakuomba uendelee na maisha yako. M-block na hata km akitumia namba mpya usije jaribu kupokea calls au kumjibu sms zake.
Maisha ni matamu sana. Kuwa na msimamo binti yangu
Yaani...!Pole mwaya sasa ilikuwaje ukamfungulia mpaka akaingia na kuganda hatoki.
Ulivyo king'ang'anizi na weeewe! Dawa yako naijua hata hivoMm ningelia hapa mpaka server za jf zingenikomaaa aiseee kujiqoute ni balaaa ingine hiyooo aiiiii
Huo ndo ukubwa.Rudisha moyo nyuma mama,sahau yaliopita,mpe tena nafasi, hakika huko alipozunguka pengine pamemsaidia kuiona thamani yako ndio maana karudi.
Haujui wanaongea lugha gani.Pole sana The Donchop
Nakuomba uendelee na maisha yako. M-block na hata km akitumia namba mpya usije jaribu kupokea calls au kumjibu sms zake.
Maisha ni matamu sana. Kuwa na msimamo binti yangu