Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,569
Ubunifu wa kutafta hela tu. Usikute hoyo muuzaji mwenyewe dakika 2 prrrrrr!!!
Sisi ndio tunawaleta kwa rufaa kutoka mikoaniMtuheshimu nyie washamba
Tembelea maternity wards za Dar uone zinavyofurika kwa kisulisuli
Nakuja pm umenitamanisha,Mkubwa nakuunga mkono..
Kuna sehemu huwa nashinda sasa wife huwa ananipikia uji wa ule wenye mchanganyiko wa Nafaka najaza kwenye chupa, kisha nabeba na karanga zangu mbichi kama kikombe cha nusu lita, mpaka inafika jioni nakuwa nmemaliza.
Asiee,, wakuu nmeona tofauti kubwa sana sana, yani hata mchana nikikaa hivi kitu kinainuka. Kiufupi hata wife jana imebidi aniambie siku hizi umekuaje mbona unataka kila siku![]()
Huku mikoani hamnaga ila Dar wamejaa sana, wanawake wanapata tabuHivi hao wanaume wasio na nguvu wanapatikana wapi
Mbona sijawahi kukutana nao![]()