Vipi yule bwana amesha tulia au bado ana mawenge wajuba tuna ugwadu wa mwaka ☹️Niache pleas
Hahahahahaha 🤣 hizi taarifa nzuri ila sidhani kama zinanifitJamani wanaume mnatakiwa kupewa maua yenu mnajitoaga sana baadhi yenu na mkiamua kujitoa mnajitoa mpaka familia zenu amuwasikilizi kisa mapenzi asanteni kwa upendo wenu
Mamndenyi, kuna mtu anaenda kulambishwa reli wallah, si bureWanaume heeee heee
Huu mtiririko uendelee hivi hivi, maana vivuruge wakiingia humu wataanza kupindisha maneno...Wanaume ni creature ya thanani sana. Mungu awatunze
Unakuta unajitoa kwa jitu halafu linakuona kama bwege na k linawapa wengine watakavyo ila wewe unabaniwa baniwa na kujitoa koteTupo pamoja Komando hpo Umenena
sindo hapo mkuuUnakuta unajitoa kwa jitu halafu linakuona kama bwege na k linawapa wengine watakavyo ila wewe unabaniwa baniwa na kujitoa kote
Umeona ehhHuu mtiririko uendelee hivi hivi, maana vivuruge wakiingia humu wataanza kupindisha maneno...
Siyo kweli, wapo wanawake hushukuru vizuri tu. Wapo wanaoridhika na huwezi amini.Mwanaume ukiona umepongezwa stuka mapema sana ujue mtego kiumbe mwanamke hajawahi kuridhika wewe ni nani mpaka upongezwe kwa kipi cha ajabu?
Inategemeana na uliyempata, sio wanaume wote wana ujinga kama huyo wa kwako. Kwa ushawishi upi kimada anisahaulishe hadi majukumu kwa familia yangu na nisiikumbuke! Semea kwa mwanaume mmoja mmoja na si including.
Hakuna mama snayelewa mapenzi akasahau familia au jamii yake. Ni sisi wababa tu.Unasahau familia yako kisa mapenzi?? Huo sio uanaume huo ni umama
wajingaHakuna mama snayelewa mapenzi akasahau familia au jamii yake. Ni sisi wababa tu.
Inategemeana na ntu mwenyewe.Hakuna mama snayelewa mapenzi akasahau familia au jamii yake. Ni sisi wababa tu.
Hata wew umeona eemtego huu