Wanaume mbarikiwe sana

Wanaume mbarikiwe sana

Unasahau familia yako kisa mapenzi?? Huo sio uanaume huo ni umama
Ni msimamo ujue kuna muda unataka kuoa lakini ndugu zako wanamkataa mwamamke unae taka kumuoa wewe unaweka msimamo wako mkali mpaka mnaoana

Hili ndicho najaribu kukielezea na sio icho unachofikili
 
Jamani wanaume mnatakiwa kupewa maua yenu mnajitoaga sana baadhi yenu na mkiamua kujitoa mnajitoa mpaka familia zenu amuwasikilizi kisa mapenzi asanteni kwa upendo wenu
We shikilia hapo hapo. Ukikegeza tu utakuja kusema Wanaume wote ni mbwa.
 
Jamani wanaume mnatakiwa kupewa maua yenu mnajitoaga sana baadhi yenu na mkiamua kujitoa mnajitoa mpaka familia zenu amuwasikilizi kisa mapenzi asanteni kwa upendo wenu
1683908139037.jpg
 
Tunijiandae kuitwa mbwa wiki ijayo ....Yan hapa Kuna boya anajazwa huko akizingua matusi yote tunakuja kuyaoga sisi ambao hata hatukuhusika
 
Hizi malaya nimezifukunyua sna nyuchi zao bila kuwapa lolote zaid ya nauli ya daladala

Principles yangu : ninae mhudumia ni mke wangu tu
 
Sisi tunajua tangu zamani tuko watoto, ukimsikia hata Mama yako mwenyewe anakuita "mtoto wangu mzuri njoo..." ujue unatumwa kuua Simba hapo.

Haiko mukinga, ndiyo uanaume huo.
 
Hvi yule babu Bado anaendelea kukubandua tu. Tafuta kijana wewe acha ujinga umri wako unakwenda Kasi ukifika miaka 40 nani atakutongoza Sasa na huyo ana mke wake atahamia kwake.
Duuuh aseee, kumbe
 
Kamalaya sana haka ka Binti ndo mana hata Mimba imeshindikana kwa umri huu wa takribani miaka 36
Eeeh asee we umejuaje mkuu, embu nipe hints kidogo, ndo maana pm ipo wazi nn kwaiyo mtu yeyote anaweza kuruka naye sio, ni hela yako tu
 
Back
Top Bottom