Wanaume kwanini hampo romantic?

Well said kk, hii hali ya mizinga mizinga kwa isiyokuwa na kichwa wala miguu inaondoa romantic yote kabisa
 
Mwambie mpnz wako unachopenda akufanyie stop kucompare mahusiano yako na ya wengne utabak unaumia mbna mm hunifanyii hiv flan anafanyiwa... Tulia tuUkishindwa pambana na hali yako tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine tumeshaomba poo!
Maana kila siku na kila wakati ni Mahaba tu....
Tunasahau shida na maendeleo mengine.
 
Mwambie mpnz wako unachopenda akufanyie stop kucompare mahusiano yako na ya wengne utabak unaumia mbna mm hunifanyii hiv flan anafanyiwa... Tulia tuUkishindwa pambana na hali yako tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mahaba ya ku compare hayafiki mbali, atakosa pa ku compare ndio utaanza kuona uhalisia wa mtu....tufanye kitu roho inapenda.
 
 
Kuna baadhi ya Bad-Boys wako na Mahaba pia.
Ningekupa mifano sema nawasitiri .
 
Nikuhonge nanunua nini, kwanini yani, nikipi nsichokijua ina TV ndani?? Cc Binamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…