Wanaume kwanini hampo romantic?

Kuna baadhi ya Bad-Boys wako na Mahaba pia.
Ningekupa mifano sema nawasitiri .
Sema tuu dear hapa anonymous. Mimi nilikuwa namaanisha bad boys wako romantic but in a dirty way that women love. Kwa mfano he will take care of you, buy u gifts, wine and dine you etc and then *** u in the parking lot while choking u, spanking u and talking dirty to u
 
Kazi tunayo duh maana mnataka tuwahonge,tuwakojoze,tusiwe vibamia,six packs na hii romantic
ukigeuka pembeni Sizonje anatukimbiza mbio mbio hakika hakuna rangi tutaacha ona.
 
Usiichukulie jf serious sana, mbona mambo ya kawaida humu kutaniana mdada...sasa matusi ya nini aisee?
 
 
Bibie kuchapiwa siri ya ndani(alafu ili neno kuchapiwa sielewi maan mwenye papuchi ni wewe so unachapwa wew)
 
Hahahahaha andhaaaaaa kanuniheeee
 
Kuna thread ya mwanaume romantic imewekwa.tatizo jamaa ni kutoka Zimbabwe.angekuwa hapa angewapanga kama foleni ya mwendokasi posta-kimara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thibitisha hayo madai yako..cc MBITIYAZA


hahahahaha!mimi mbiti nathibitisha kuwa xwez kudendeka nikiwa nimeximama kwaxabab flow ya damu miguuni huwa inakata najikuta napepexuka na kuanguka chini

nitaweka baadae ref kwa xhahid zaidx! ! ... xwag on flik
 
Mimi siwezi kuonyesha mambo yakitoto wakati sisi niwatu wazima yani nikifika kitandani hakuna lugha ya kufikirika suala ni panua , weka mguu vizur, nk.. Suala la kuwa romantiki njiani hio ni dalili ya kuonyesha udhaifu kuwa una wasi wasi atanyakuliwa na wengine, mwanaume kujiamini.
 
Hela hela hela ndo wimbo wa taifa khaa, hadi kunako tunawahi wahi tu ili mradi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana me nimevuka boda


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…