UCHOKOZI HUU
Hawa hawa wa mwendokasi wanaambilika kweli?Mwambie mpnz wako unachopenda akufanyie stop kucompare mahusiano yako na ya wengne utabak unaumia mbna mm hunifanyii hiv flan anafanyiwa... Tulia tuUkishindwa pambana na hali yako tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikufa na tai shingoni au walijikaza kisabuni huku wanateketeaNimekuelewa vizuri sana kuwa wanaume wengi sio romantic. Sawa kabisa ila, hebu tujiulize kidogo, wangelikuwa sio romantic bibi na mama zetu wangetulia hivyo kwenye ndoa zao??
Haaakuzeeka wapi mkuu sema labda ni kuishi huku mbali na mijini huku kwetu nikifika toka shabani kuoga kula kitandani mikono yenyewe utazani ni mguu utampapasa vipi!!
Wewe naona huongelei wanaume. Hizo zote ulizotaja ni tabia za beberu mbuzi si za wanaume. Ila kaa ukielewa maisha pia siyo romanticBaadhi yenu ndio mlivyo.. Ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini.. Khaa
Mwanaume muda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero.. Wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet, honey, babe, pumpkin, laaziz hawana hilo kabisa... Yaani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!!
Mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono.. Sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... Mkipanda kitandani sasa utaskia "Panua bwana usinipotezee mda wangu" or *Kama hutaki ondoka"..
Hii ndio sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
Kuwa romantic kunapagawisha mwanamke.. Anajiona yupo kwenye himaya sahihi.. Anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli.. Anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake..
Mshike mkono mkitembea. Kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze, mbembeleze, hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
Mjali kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (Sihamasishi uzinzi.. Muoane)
Wewe huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama Diamond.. Nsync.. Westlife.. Justin Bieber etc!...
Wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono.. Trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinawafanya wapagawe.. Wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..
Shauri yako..
Hapana someni comments mjirekebishe mbona ke wakisoma wanafanyia kazi?Tatizo wabongo tunapenda maigizo sana na kingine tunataka yale mambo ambayo wale waphilipino wa tamthlia wanazoonesha Star TV ndio tuyafanye wakati kiuhalisia mazingira hayaruhusu. Wewe chukulia poa tu hata kama ukipigwa mtama wewe tulia tu
Embu tu tamka neno 'darling' lilivyo romantic. Halafu tafuta la kiswahili la kufanana na hilo.Hivi romantic Mpaka uongee kizungu? Kwanini tusitumie lugha zetu za asili..??
Sent using Jamii Forums mobile app
sio uchokozi kuna watu mtu na mkewe wakitoka out wakiwa sehemu ukiwaona ni kama mbwa na paka wanao viziana fuko la taka lililotupwa mpaka unajiuliza kwanini wasingekaa nyumbani wakaangalia hata mpira kuliko mambo haya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye kumuimbia mwanamke nyimbo za mapenzi mi pamenishindaBaadhi yenu ndio mlivyo.. Ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini.. Khaa
Mwanaume muda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero.. Wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet, honey, babe, pumpkin, laaziz hawana hilo kabisa... Yaani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!!
Mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono.. Sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... Mkipanda kitandani sasa utaskia "Panua bwana usinipotezee mda wangu" or *Kama hutaki ondoka"..
Hii ndio sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
Kuwa romantic kunapagawisha mwanamke.. Anajiona yupo kwenye himaya sahihi.. Anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli.. Anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake..
Mshike mkono mkitembea. Kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze, mbembeleze, hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
Mjali kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (Sihamasishi uzinzi.. Muoane)
Wewe huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama Diamond.. Nsync.. Westlife.. Justin Bieber etc!...
Wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono.. Trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinawafanya wapagawe.. Wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..
Shauri yako..
Nasubir mchango wakoNIMEJIKUTA NALIA BAADA YA KUSOMA UZI WAKO MPAKA MY PUMPKIN KAAMKA
MY PUMPKIN:LAAZIZI, TATIZO NINI!?
NITATOA USHUHUDA:HAKUNA MY CHUCHUCHU LAZIMA NICHANGIE HUU UZI
Lugha ya asili haiwezi kuwa romantic mkuu.
Neno lenyewe ni romantic vije ulitekeleze kiswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha, ndio wanawake wetu walivyo! Wanakuwaga wababe sana sometyms kwa kauli kama hiyo kwangu mi stumiiiNa nyie mkiomba hela muombe kiromantic pia,
sio utatuma hutumi,kama hutumi niambie!
Nipo
Tatizo wengi wenu mkioneshwa upendo na kudekezwa sana after sometime ghafla mnabadilikaga na kuwa washenzi. Dharau na kiburi kingi mno na kujiona nyie ndio mpo juu zaidi yetu. Utakuta KE anakufanya kama hayawani na kukupelekesha mputa mpaka unaona duble duble...Lolote unalosema hasikilizi anakupuuza,majibu ya nyodo na ukiendelea kulialia unakuwa bushoke wake kabisa na anakuongezea mme mwenzio pembeni ili akunyooshe vizuri kisha anakuacha boya wake bila huruma.Baadhi yenu ndio mlivyo.. Ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini.. Khaa
Mwanaume muda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero.. Wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet, honey, babe, pumpkin, laaziz hawana hilo kabisa... Yaani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!!
Mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono.. Sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... Mkipanda kitandani sasa utaskia "Panua bwana usinipotezee mda wangu" or *Kama hutaki ondoka"..
Hii ndio sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
Kuwa romantic kunapagawisha mwanamke.. Anajiona yupo kwenye himaya sahihi.. Anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli.. Anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake..
Mshike mkono mkitembea. Kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze, mbembeleze, hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
Mjali kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (Sihamasishi uzinzi.. Muoane)
Wewe huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama Diamond.. Nsync.. Westlife.. Justin Bieber etc!...
Wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono.. Trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinawafanya wapagawe.. Wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..
Shauri yako..
We utakuwa huna sura wala chura, in short huna mvuto wa kimapenzi. Pole sana mkuu!Toka nazaliwa sikuwahi kuona Upendo Wa mwanaume toka nakua najua mahusiano sijawahi kuonyeshwa Upendo sasa Mimi nachojua wanaume hawana Upendo niwakatili
Sent using Jamii Forums mobile app