Binafsi ni hivi... Ukiwa kijijni angalau mwezi hivi ama zaidi, (achilia mbali chakula) una kuwa ma hamu na kiu ya mapenzi. Sababu kubwa ni kwamba, kuliona tu goti la mwanamke ni shughuli. Sasa ukija mjini ile wiki ya kwanza kila mwanamke ni mzuri maana maungo yako wazi, kila wakipita unageuza shingo, ila baada ya wiki kadhaa unaona kawaida, wala hustuki tena na ile kiu inakata maana unaona kila kitu ni kawaida. Mavazi ya wanawake wengi mjini yamekua chanzo, sitaki kuamini kuwa chips haiana faida hata kidogo.. Na ifahamike hamu ya ngono na ku-perform vema ni suala la akili iliyotulia, vinginevyo yatasemwa mwengi..