Wanaume kama Mabinti

Status
Not open for further replies.
My point ni kwamba, society yetu ina double standards. On the one hand inaonekana ni sawa, chivalry etc kwa mwanamme kuwa provider and all. On the other hand, wanaume wengine wakitaka faida za "usawa" ili wao nao wawe provided for wanakuwa labelled "wanaume kama mabinti".Mimi nafikiri wanaopigania usawa wa jinsia wangeanza na kuipiga vita hii dhana inayo mu elevate mwanamme na in the procss kumtwika reponsibilities - angalau the appearance of responsibilities- disproportionately.

Angalia hata jina la wimbo wenyewe limekaa upande, "Wanaume kama mabinti" what mesage is she trying to send? Perhaps on the subliminal level JD anaona mabinti kuwa tegemezi ni sawa tu, ila wanaume wakianza kuwa tegemezi inakuwa si natural position yao, mimi naona as much as this phenomena is a problem for both genders, hizi approach za kina JD nazo, zilizoota katika msitu wa tradition, zinapalilia matizo.

Wanaume kama mabinti kwa mtu anayefikiri, in this context, is insulting to mabinti, kwa sababu ina propagate the notion kwamba mabinti naturally ni walegevu na tegemezi, kwa hiyo wanaume wasitake kujilegeza na wao kuwa kama mabinti.

Kama wanawake wanataka usawa kuna mawili, wakubali wanaume wanaokuwa "kama mabinti" au wakatae hii notion ya "mabinti" kuwa naturally walegevu na wategemezi.

There is no trade off between the two.

Mkuu Kiranga,
Hii nimeipenda kwa kuwa wakati huu ukiangalia iko kama mila zimekorogwa sana. Sasa hivi tunaishi ndani ya jamii yenye mila tatu, Mila zile za zamani zilizobakia vijijini zaidi, Mila za Kimjini na za Kizungu. Hizi za kizungu zinachochewa sana na mapicha, TV, safari za Ulaya na wageni wengi wanaotutembelea kutoka dunia ya kwanza nk. Katika thana hii ya mila na desturi, correct me if I am wrong, jamii hutegemea sana wakina mama ndiyo wanaowafundisha watoto mila na desturi toka utoto. Ukiuliza mabinti wa kisasa kwamba watakapoolewa wamejiandaa kufuata maadili yepi ndani ya ndoa, ya Kikabila alilotokea, ya kimjini au ya kizungu? Sijawahi kumpata aliyenipa jibu. They tend to avoid answering the question.
 
My point ni kwamba, society yetu ina double standards. On the one hand inaonekana ni sawa, chivalry etc kwa mwanamme kuwa provider and all. On the other hand, wanaume wengine wakitaka faida za "usawa" ili wao nao wawe provided for wanakuwa labelled "wanaume kama mabinti".Mimi nafikiri wanaopigania usawa wa jinsia wangeanza na kuipiga vita hii dhana inayo mu elevate mwanamme na in the procss kumtwika reponsibilities - angalau the appearance of responsibilities- disproportionately.

Angalia hata jina la wimbo wenyewe limekaa upande, "Wanaume kama mabinti" what mesage is she trying to send? Perhaps on the subliminal level JD anaona mabinti kuwa tegemezi ni sawa tu, ila wanaume wakianza kuwa tegemezi inakuwa si natural position yao, mimi naona as much as this phenomena is a problem for both genders, hizi approach za kina JD nazo, zilizoota katika msitu wa tradition, zinapalilia matizo.

Wanaume kama mabinti kwa mtu anayefikiri, in this context, is insulting to mabinti, kwa sababu ina propagate the notion kwamba mabinti naturally ni walegevu na tegemezi, kwa hiyo wanaume wasitake kujilegeza na wao kuwa kama mabinti.

Kama wanawake wanataka usawa kuna mawili, wakubali wanaume wanaokuwa "kama mabinti" au wakatae hii notion ya "mabinti" kuwa naturally walegevu na wategemezi.

There is no trade off between the two.

Nakubaliana na wewe Mkuu.
 
amazingly.. wenzetu kwenye nchi za "magharibi".. kina mama na kina dada wameanza kurudia 'traditional roles". Yaani kuwa wake na kina mama wa nyumbani. Siku hizi wanafundishwa yale dada zetu wa kiafrika walikuwa wanafundishwa katika enzi za unyago. Kitabu maarufu cha "The Proper Feeding of Husbands" cha Dr. Laura is a must read.

Binafsi napenda nije kuoa mwanamke ambaye ni mwanamke.. siyo mwanamke anayetaka kuwa mwanamme! itakuwa ni gender conflict!!
 
amazingly.. wenzetu kwenye nchi za "magharibi".. kina mama na kina dada wameanza kurudia 'traditional roles". Yaani kuwa wake na kina mama wa nyumbani. Siku hizi wanafundishwa yale dada zetu wa kiafrika walikuwa wanafundishwa katika enzi za unyago. Kitabu maarufu cha "The Proper Feeding of Husbands" cha Dr. Laura is a must read.

Binafsi napenda nije kuoa mwanamke ambaye ni mwanamke.. siyo mwanamke anayetaka kuwa mwanamme! itakuwa ni gender conflict!!

Mmh kazi ipo.You must be gender insensitive.Kwani wewe bado hujaoa na uzee wote huo?
 
Binafsi napenda nije kuoa mwanamke ambaye ni mwanamke.. siyo mwanamke anayetaka kuwa mwanamme! itakuwa ni gender conflict!!

Lol kumbe mzee bado upo upo dah sikujua hili.
Haya mabinti changamkieni fursa hii MJJ bado yupo yupo kwanza.
 
Unakuta mtu kajiwekea vigezo kwa mwanamke au mwanaume anayemtaka kwamba ni lazima wae landa na elimu fulani,familia yao lazima iwe na uwezo kifedha tofuti kidogo na zamani,ni sehemu chache sana zilianagalia hali za kifedha toka upande wa pili,hili halipingiki.Hoja ya vigezo vya bikira sio sahihi kwakuwa kwanza kulikuwa kuna makubaliano and then siku ya harusi ndo bikira zilikuwa zinakaguliwa hivyo hatua ya kwanza haukiwa bikira.Mimi nadhani real love haina vigezo,unafall popote bila kujali,sijui kabila,rangi,dini,elimu n.k,(Unconditional love.)

Bila kujali ni bikra ama imetumika pia!

Umesema kweli hapo!

Ni mpka jamii itakapojivua vazi hili la ujinga basi ndoa zetu hazitasalimika kamwe!
 
can you show me a fine line between romance and other sides of life???/ dou you know that romance can run even in the stores during shopping............. sasa ukigomea shopping bag mzee akauchuna ujue umeishathiri romanzi zako mama.............. atahri zake zaweza kutokea baada ya kitambo bila wote wawili kujua na ndio maana utasikia mtu mzima analalamka..............."ooh, kila kitu namtimizia lakini nimegundua ana mwanamke mwingine".................... shauri yako........... just an advice.....................
Lets not go out of topic.... But i am still standing on my point... What kind of man who let his wife lift heavy things? A totally jackass...I dont get what u r arguing here...

Romance might mean something to u and something else to me.... But for me him not allowing me to lift or carry those stuff is most romantuc thing ever... He shows how he cares about and this little things made me love and respect him more...
 
Lets not go out of topic.... But i am still standing on my point... What kind of man who let his wife lift heavy things? A totally jackass...I dont get what u r arguing here...

Romance might mean something to u and something else to me.... But for me him not allowing me to lift or carry those stuff is most romantuc thing ever... He shows how he cares about and this little things made me love and respect him more...

but dont make it unbreakable law!!!!!!!!!!!!! mambo yote yawe kwa upendo na yatokee naturally na si kwa kuwa kuna kanuni umeweka na lazima aifuate kwa kuwa tu wewe ni mwanamke huwezi kunyanyua vitu vizito!!!!!!!!............ after all vitu vinavyonunuliwa kwa matumizi ya nyumbani haviwezi kuwa vizito vya mwanamke kushindwa.............. kubweteka huku kwa baadhi ya wanawake ndio tunasema nako kumepitwa na wakati..............

kweli dear kama ndoo ya maji huwezi kunyanyua, nashawishika kusema kuwa nawe umebweteka........................... fanya mazoezi usimtese mzee............ na hilo limbwata lako.............. siku akishtuka umeumia, hataaanggalia nyuma.................
 
Inawezekana na yeye vigezo vimemponza.Hajatokea wa kukidhi vigezo.

Mwanakijiji aje atueleze ni vigezo vilivyomfanya mpaka leo asiwe na mke au ni nini?Kulikoni Mzee wa kijiji akawa hana mke,anaongozaje kijiji chake na uzee wake?
 
Toba...

Sijaoa kwa sababu sijaona;
Sijaona kwa sababu sijaangalia
Sijaangalia kwa sababu sijatafuta
Sijatafuta kwa sababu sijakosa
Sijakosa kwa sababu kila nilichopata tayari kilishachukuliwa!

hivyo.."bado nipo nipo"..
 
Toba...

Sijaoa kwa sababu sijaona;
Sijaona kwa sababu sijaangalia
Sijaangalia kwa sababu sijatafuta
Sijatafuta kwa sababu sijakosa
Sijakosa kwa sababu kila nilichopata tayari kilishachukuliwa!

hivyo.."bado nipo nipo"..

Ha ha ha!Shairi zuri sana
Jamani ambao bado mko mko Mwanakijiji naye bado yupo yupopia .Jimbo la uchaguzi liko wazi changamkieni kujaza fomu za kupitishwa kwenye kura za maoni.
 
Ha ha ha!Shairi zuri sana
Jamani ambao bado mko mko Mwanakijiji naye bado yupo yupopia .Jimbo la uchaguzi liko wazi changamkieni kujaza fomu za kupitishwa kwenye kura za maoni.

mi nakuwa wa kwanza kujaza fomu. tafadhali MMM usinitose kwenye kura za maoni.
 
but dont make it unbreakable law!!!!!!!!!!!!! mambo yote yawe kwa upendo na yatokee naturally na si kwa kuwa kuna kanuni umeweka na lazima aifuate kwa kuwa tu wewe ni mwanamke huwezi kunyanyua vitu vizito!!!!!!!!............ after all vitu vinavyonunuliwa kwa matumizi ya nyumbani haviwezi kuwa vizito vya mwanamke kushindwa.............. kubweteka huku kwa baadhi ya wanawake ndio tunasema nako kumepitwa na wakati..............

kweli dear kama ndoo ya maji huwezi kunyanyua, nashawishika kusema kuwa nawe umebweteka........................... fanya mazoezi usimtese mzee............ na hilo limbwata lako.............. siku akishtuka umeumia, hataaanggalia nyuma.................

where did i I say that it is a law? I didnt enforce this to him... but it is a basic thing any gentleman should know... like for instance do u open or hold the door if a woman is walking behind u?

BTW I did this experiment at home... I filled the bucket full of water , tell u what I couldn't lift it... its Ridiculously heavy... now for shopping thats not a big deal... if there are heavy things he carries 'em... otherwise I do ? I am not lazy I cook for him, do his laundry, clean the house, i watch sports with him... and sooo many other stuff we do together.. why would u assume that he gonna leave me because of this?....

I do exercise but I dont carry heavy weight, not to built muscles... u know am a woman after all I gotta do is take good care of myself otherwise he wont find me attractive :rolleyes:
 
Mtoa mada sijaona uwiano wa title na mada husika. Ila we ungependa kuoa kipa? Unausemea moyo wako. Yawezekana una kipato cha kutosha ndo maana huweki vigezo vya kimaslahi. Kwa upande wa pili huwatendei haki wanawake kwamba hata wasiposoma wataolewa tu, halafu wanagonga thx. Jipange tena
 
Mtoa mada sijaona uwiano wa title na mada husika. Ila we ungependa kuoa kipa? Unausemea moyo wako. Yawezekana una kipato cha kutosha ndo maana huweki vigezo vya kimaslahi. Kwa upande wa pili huwatendei haki wanawake kwamba hata wasiposoma wataolewa tu, halafu wanagonga thx. Jipange tena
Soma tena tafadhali.Mada iko sawa na taito Mkuu.Nadhani hujanipata vizuri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom