Wanaume kama hawa

Wanaume kama hawa

Kuna wanaume wengine,wana tabia mbaya sana,sio nzuri

Unakuwa nae kwenye mahusiano vizuri tu lakini umuombapo kitu labda hela kwa ajili ya matumizi,....hawezi kukupa hela inayoeleweka....,au hawezi kukuletea zawadi

Hasa kama mna mwezi hamjafanya mapenzi

Mwanaume eti anakupa hela inayoeleweka baada ya kumaliza kufanya mapenzi,au atakuletea zawadi muda huo anataka mfanye mapenzi
Ukipokea zawadi na bila kufanya...anakuwa hayupo happy

Wanaume hivi ukimaliza kufanya mapenzi....ndo unajua umuhimu wa mpenzi wako?

Kwa nini usimuhudumie mpenzi wako kwa asilimia mia hata kama hamjafanya mapenzi ndani ya mwezi mmoja?
UPUPU HUU.
 
Kabisa ndugu, na hata kama haombi na wewe ukajifanya mgumu humpi siku zote kuna wajanja wataanza kumpa na hapo ndipo unakuwa mwanzo wa kumegewa
Swala la kumegewa Galina guarantee .mkuu ...kuna watu wanatoa pesa sana na mademu wao walivyo wajinga wanagongwa nje ..
 
Nyie wanawake mna nini? Kilio chenu ni hicho hicho kila siku! Kwan mliletwa ili tuwalee kama watoto! Pambaneni na hali zenu achananen na dhana tegemezi. Mtaendelea kupigwa kuni kibingo tu.
Afu et bado wanataka haki sawa ..hv hawa wanawake wanajua maana halisi ya 50:50 au wanajisemea tuu huko mitandaoni....Hata kwa biblia tumeambiws tuishi nao kwa akili ..yan ukiwaendekeza ...ni umasikini tuu ndo unafuata
 
Back
Top Bottom