Wanaume kama hawa

Wanaume kama hawa

Bila pesa mzee ni shida maana unaweza kupata mtoto asiekuomba ata senti moja lakini bado ikawashida tu maana utahitaji umpe zawadi, au mtoke kidogo
Umeona sasa. Maneno kuntu haya rafiki.

Kumbe saa ingine huwa unawaza mbali bana.

 
Kabisa ndugu, na hata kama haombi na wewe ukajifanya mgumu humpi siku zote kuna wajanja wataanza kumpa na hapo ndipo unakuwa mwanzo wa kumegewa
Hahahaaaa. Umeonaeeee.

Mikono kuwa ya birika iwe kwa kiasi sasa sio inazidi hadi mkono wa birika wenyewe hapo lazima wajanja wachukue nafasi. Koh
 
wanawake ndo mana huwa mi najipigia mara moja nikishakojoa yuleeeee nasepa ntahudumia familia na mwanamke ambae naoa hawa wengine ntapiga tu sana sana ntatoa hela ya nauli ya kurudi kwenu unataka hela na raha nimekupa
 
Back
Top Bottom