Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,079
- 122,419
Ndiooo. Bila hiyo wategemee maumivu aiseeee.Mambo ya kukuzia hayo eenh!
Ndiooo. Bila hiyo wategemee maumivu aiseeee.Mambo ya kukuzia hayo eenh!
Wewe umenipenda lazima unitunze,mke ni ua... Lazima lipaliliwe
Wacha tupambane na hali zetu tuNdiooo. Bila hiyo wategemea maumivu aiseeee.
Hahaaaa. Kabisaaaaa.Wacha tupambane na hali zetu tu
Hahaaaa. Kabisaaaaa.
Wanawake wa siku hizi mmegeuka ombaomba ndo maana hampati wa kuwaoa mnaishia kuchezewa tuu.Kuna wanaume wengine,wana tabia mbaya sana,sio nzuri
Unakuwa nae kwenye mahusiano vizuri tu lakini umuombapo kitu labda hela kwa ajili ya matumizi,....hawezi kukupa hela inayoeleweka....,au hawezi kukuletea zawadi
Hasa kama mna mwezi hamjafanya mapenzi
Mwanaume eti anakupa hela inayoeleweka baada ya kumaliza kufanya mapenzi,au atakuletea zawadi muda huo anataka mfanye mapenzi
Ukipokea zawadi na bila kufanya...anakuwa hayupo happy
Wanaume hivi ukimaliza kufanya mapenzi....ndo unajua umuhimu wa mpenzi wako?
Kwa nini usimuhudumie mpenzi wako kwa asilimia mia hata kama hamjafanya mapenzi ndani ya mwezi mmoja?
Hahaaaa. Mie hili somo nilishalifaulu sijui sababu nilianza kuijua pesa nikiwa kabinti yaani sitegemeagi ya mtu mieeeee.
Hahaaaa. Kweli kabisa rafiki.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna hati hati ya kufwa na mautamu yetu kwa masharti haya, sijuiii!!
Mie ndio ilikuwa kawaida yangu hiyo kaka wala hujakosea kabisa.Nakumbuka wakati ule Dada, kuna wakati ulikuwa unamtoa Shemu akikwama
Hahahahaha nimeandika kama nikikuwepo vilee.
Ndio hivyo. Hahahaaaa.Duuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umetisha saana! Wakuache wakuacheMie ndio ilikuwa kawaida yangu hiyo kaka wala hujakosea kabisa.
Hahahahaaaa. Usijali.
Hahahaaaa. UmeonaeeeUmetisha saana! Wakuache wakuache
realists tunasema"more you give,more you receive"Kuna wanaume wengine,wana tabia mbaya sana,sio nzuri
Unakuwa nae kwenye mahusiano vizuri tu lakini umuombapo kitu labda hela kwa ajili ya matumizi,....hawezi kukupa hela inayoeleweka....,au hawezi kukuletea zawadi
Hasa kama mna mwezi hamjafanya mapenzi
Mwanaume eti anakupa hela inayoeleweka baada ya kumaliza kufanya mapenzi,au atakuletea zawadi muda huo anataka mfanye mapenzi
Ukipokea zawadi na bila kufanya...anakuwa hayupo happy
Wanaume hivi ukimaliza kufanya mapenzi....ndo unajua umuhimu wa mpenzi wako?
Kwa nini usimuhudumie mpenzi wako kwa asilimia mia hata kama hamjafanya mapenzi ndani ya mwezi mmoja?
HaahhahaaaaaaaaaaaaHahahaaaa. Umeonaeee
Waniache, waniache narudia tena waniachee kabisaaaa. Koh koh.
Ila Mbalizi wewe hapana aiseeee. Sababu sio kwa kuntia ndimu kiasi hiki.