Aunt sikuwezi kwa mashushu wewe si wa mchezo mchezo....Muulize ujana wake alikula na nani?
Hahahaaa jmn nitaachaje kumjua babu ynguuu??Tehteh
Ulijuaje nina ndevu
Dada yako ndio kauliza, na ninahitaji majibu kwakweli. Maana sio kwa kutubemendea ndugu yetu kiasi hicho.Staki kuamini hili swali kaliuliza dada yangu.
Mo lazima atakuwa ndiye anatumia account yake
Wengi wao hawependi kufundishwa...wajuaji tuu.Kissing, just like any intimate action, can be taught.
Instead of complaining, why don't you show your partner how you'd like to be kissed.
Remember everyone kisses differently, hata awe a great kisser, ila kama they aren't kissing you the way you'd like to be kissed, lazima utamuona hajui tuu. So communicate with your partners badala ya ku-complain.
best yako hajapata mnyonyaji mzuri watu tunanyonya hadi pua bwana"
Aunty usicheke, ujue huu ni msiba wa ukoo.Aunt sikuwezi kwa mashushu wewe si wa mchezo mchezo....
Habari wana jamvi,
Mi ninapenda kujua inakuaje mwanaume unakua unapenda kupiga denda wakati shughuli yenyewe huiwezi? Utakuta mwanaume anakukiss kwanza anaachama domo lote wazi, pili anaingiza liulimi lake bila hata formular hadi mwishowe unastuka amekujaza mate karibia uso wote yani hadi pua, hivi kwanini wanashindwa kujifunza better way?
Hii story nimeipata kwa rafiki yangu mmoja, yani huyo boyfrend wake akimkiss hadi mood yote inakata...
JAMANI JIFUNZENI KUKISS SIO MNAKURUPUKA TU MNABOA WATU.
KhaaaJirani za kutwa
tuache utani pua ina raha yake ukiinyonya " jaribu kumgusia your hubby then ulete mrejesho kissing utatupa kule...
Kaka yako ndiye anakujibu sasa sikiliza kwa makini.Dada yako ndio kauliza, na ninahitaji majibu kwakweli. Maana sio kwa kutubemendea ndugu yetu kiasi hicho.
AF mkuu wa du wengine wamekua very short kias kwamba anampa shida baharia kuinamawanazingua sana wanawake sasa c umfundishe jinsi ya kukiss kama unaona awezi unaleta uku jf lawama za nn afu usiseme wanaume tujifunze kukiss mbn hata nyny kukiss amjui unakuta demu kukiss ajui afu nyapu inanuka hatari by the way ishu za mapenzi ni very confidential uyo rafiki yako aliye kwambia ivyo nae hana hakili vzr mpumbavu uwezi elezea madhaifu ya mpenzi wako kwa rafiki yako ndomana nyny wanawake tunawadharaugi mda mwingine hamnaga akili badhi yenu.....
Naona wewe mzoefu wa kubusiwa waletee Somo hapa. Je Kama umeolewa unatoa Siri Za ndoa nje? Au wewe ni wapi kubusiwa na...Habari wana jamvi,
Mi ninapenda kujua inakuaje mwanaume unakua unapenda kupiga denda wakati shughuli yenyewe huiwezi? Utakuta mwanaume anakukiss kwanza anaachama domo lote wazi, pili anaingiza liulimi lake bila hata formular hadi mwishowe unastuka amekujaza mate karibia uso wote yani hadi pua, hivi kwanini wanashindwa kujifunza better way?
Hii story nimeipata kwa rafiki yangu mmoja, yani huyo boyfrend wake akimkiss hadi mood yote inakata...
JAMANI JIFUNZENI KUKISS SIO MNAKURUPUKA TU MNABOA WATU.
We nenda tu, tena uwe ndondocha kabisa.Kaka yako ndiye anakujibu sasa sikiliza kwa makini.
Nataka kwenda msumbiji nikatafute limbwata aniwekee kwake niwe zezeta.
Nimekumis sana mrembo wanguNipogo tu rafk angu