[Tanga ya Tajiri]
Senior Member
- Aug 30, 2015
- 183
- 49
duuuuh
thijui [emoji125] [emoji100]eti mukongo ni kweli [emoji85] [emoji2]
Yani wewe jamaa. Sasa kwani ina kasema kuwa anataka mambo ya kitoto?Inna huyo atakupoteza aisee umeona mambo yake si yakitoto
Kweli aseeHawa ndio wale ambao wanawaadithia shost zao jinsi walivyolala na waume zao.
Wana papara kama nyuki waliofurumushwa kwenye mzingakwani waswahili ndio hawapaswi kujifunz namna nzuri ya kukiss
Sasa umeshtuka nini Inna wanguAiseeeeeeeeh
Pole sana kwa yaliyokukuta..Mi ninapenda kujua inakuaje mwanaume unakua unapenda kupiga denda wakati shughuli yenyewe huiwezi? Utakuta mwanaume anakukiss kwanza anaachama domo lote wazi, pili anaingiza liulimi lake bila hata formular hadi mwishowe unastuka amekujaza mate karibia uso wote yani hadi pua, hivi kwanini wanashindwa kujifunza better way?
Wewe jamaa unanipa hasira sana.Inna wangu uliendaga wap
Ungekuw umemwambia huyo boyfriend wa rafik ako ingekuw vzur zaidHabari wana jamvi,
Mi ninapenda kujua inakuaje mwanaume unakua unapenda kupiga denda wakati shughuli yenyewe huiwezi? Utakuta mwanaume anakukiss kwanza anaachama domo lote wazi, pili anaingiza liulimi lake bila hata formular hadi mwishowe unastuka amekujaza mate karibia uso wote yani hadi pua, hivi kwanini wanashindwa kujifunza better way?
Hii story nimeipata kwa rafiki yangu mmoja, yani huyo boyfrend wake akimkiss hadi mood yote inakata...
JAMANI JIFUNZENI KUKISS SIO MNAKURUPUKA TU MNABOA WATU.
Hahahaha!!Hii ni Kwa wote. Bora umkute msafi ila hajui kukiss coz waweza kumwambia atulie ili udrive. Kwa maana nyingine you will be teaching him through actions hapo hapo. taabu unakiss kwanza anakupelekea limi hilo mpaka kwenye kolomeo, domo linanuka, anatoa limi na vijimaharage vilivyobakia. This is for all haina gender
Tehtehteh
Sina babe nina baby mimi
Jirani za kutwa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe jamaa unanipa hasira sana.
Nitakupiga ban
Waaa hahahaha sipati picha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] waambie wengine wanatoa ulimu kama kinyonga ukute kakupandia juu mate yanaingia hadi masikioni
[emoji85] [emoji85] nimefanyaje aunt???[emoji125]Aunty tabia mbaya umeanza lini?