@Young_Master my x, hebu nikumbushe ile taarabu ya MANENO YA MKOSAJI ILIIMBWA NA NANI TENA??? za jumapili lakini? chit chaters wazima nyiee?? nimewamisije kha!
unavituko c,Tupo powaaa!!!INGINE HII CHUKUA.... si kwamba siwezi kusema naziogopa lawama zingine zinakondesha
Haya The secretary embu niambie ni limbwata gani hilo lililonikolea?
yani cacico anakuchit live we mmh!
Tumesha achana...hajakwambia?
Namie utakutana na bakora mpya!
Mh nini tatizo mama?
Libwata au kukolea?
Hebu wataje hao wadada kwa majina full
Unaposema C unamaanisha cacico charminglady CUTE Catherine au nani?
Kwa F mh au FirstLady1 ?
Ha ha haaa!!! Pole sana ummu kulthum...Kama wao wamegoma kukupa siri ya mafanikio yao ya kutajwa tajwa kila saa basi mimi nitakupa siri ya hayo mafanikio nayo ni kuwa mnafki...mcheshi...mmbea...mchokozi...na muongea pumba maana ukiongea point watu watakuogopa na wataogopa kubishana na wewe. Kama huamini jaribu hayo niliyokwambia hapo juu na utajionea mwenyewe.
Heheheeee kapewa Limbwata nyingi sana yan kila kona yumo lolunamsingizia Bishanga kwani hamjui mawenge yake anavyotapatapa utazani bata mzinga halafu sumaku zake hazinasi mwanamke atakayeweza kumpa Bishanga limbwata atakuwa amemweza
ummu kulthum hawawezi kuandaa mgomo kwa kuwa wanapenda haooooo lolErickb52 wakiandaa mgomo mi sipo....
njoo uchukue nafasi.....ila naniliu ... babibe nanilii asijue
mke mwenza mie mzima tu,
mume wetu sijui kalala wapi...
mie sijamtia machoni toka ijumaa...
BADILI TABIA na cacico mnataka niwaambie mara ngapi mkiona kimya mjue niko nae!!! Yaani hapa ndio tumeingizana mjini safari ilikua ndefu na tamuuuuuuuu......wiki hii muacheni laaziz apumzike kabisa,namkanda mara tatu kwa siku.
kama upo nae ni vyema, maana mume wetu hakawii kwenda kukagua vibinti vya watu...../QUOTE]
Lol......na kweli mwaya. Uzuri sie tunapeana taarifa,kwahiyo hawezi kuzungusha. Akiondoka tu ntawatonya muanze kumtolea macho