The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
ummu kulthum come zis way....
Gfsonwin come this way I want to show u something ooo
Last edited by a moderator:
ummu kulthum come zis way....
leo umekuwa bubu??:violin::lock1:.............:A S-heart-2::busu:welcome:
:sorry:
:bump::amen:
Gfsonwin come this way I want to show u something ooo
:a s 100:leo umekuwa bubu??
umbea.........:loco:
kwa mwanamama ni suna
Je ? Jishoga likiwa mbea napo suna?
Hapa Katibu unataka tu kuanzisha ligi unnecessary !Jishoga ni mwanamama? ana sifa za kunyonyesha?
Hapa Katibu unataka tu kuanzisha ligi unnecessary !
My dear hivi nikikupa biography ya shoga sio mwanaume tutakesha , kwanza omba radhi kwa mwenye thrade kwa machakachuzi yako, na kwa kunisababishia na mie kuchakachua. Afu jishoga halina sifa ya kunyonyesha!
Lakini lina sifa ya kunyonya! Huyo nae tumwite mwana wa kiume?
Inahuuuu ?
hata mwanaume asiye shoga ana sifa ya kunyonya uki mgroup jishoga kwenye kwa wamama utakuwa unatudhalilisha jinsia itabaki kuwa jinsia inspite of being shoga haitabadilli hali ya jinsia
Haya bwana ! Na nyie wanawake kwa ubishi ! Mlijaaliwa hatuwawezi, hili tulilaze poro mida hii nina job thn ntakutaftia tena wasaa tulianzishe mi niwe peke yangu wewe utafute washirika kama wa5 hivi afu tuanze mdahalo.
umo lakini huvumi! kha!
Hii topic sasa mliifikisha mbali The secretary na Judgement yaani I was watching you closely... Mara umbea ni sunna kwa mwanamke mara ushoga,mara sijui nini...
Badala ya sisi wanaume tuwe nasi tunalimbwatisha wadada nao wawe mazoba,tunawaachia wao tu!
kwa mwanamama ni suna
Mimi peke yangu ni sawa na 5 uanzishe thread topic yoyote halafu tunawapa taadhari akina Cacico na team yake watakula ban wakichakachua thread
ummu kulthum hebu badilisha hako kapicha....weka ambako kako sexy zaidi halafu nitakupenda
Umenziba mdomo, nawapenda na kwuaheshimu sana akina mama.....:israel: