Wanaume jamani mnatuchefua

Wewe zitatokaje nje ya pua zinachungulia bana sijasema wanyoe zote wapunguze kule kuchungulia nje ni kinyaa
Wanawake wa hivi unaweza dhani wanakunya keki

Alafu usikute ni kabovu, kamejaziana kama boflo, sura mbuzi, chunusi chunusi, miguu yote ya kushoto, vigimbi kama mwanariadha
 

Zile ni chujio la hewa si unajua hewa ya dunia imechafuka karne hizi....
 
Taratibu,tumekusikia,ahsante kwa kutukumbusha,leo kweli mmeamua kututemea sumu iliyojaa miayoni mwenu
 
Hiyo fungua uzi wake kwanza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…