Mussa Namangaya
Member
- Apr 2, 2017
- 45
- 33
Yaan kusema kuhusu vinyoleo unaonyesha jinsi gani usivyo na uelewa na ukijua kazi zake hutorudia tena.
Joseee haikuhusu au?Pole sana...ngoja waje
Saloon tuna kazi, sasa zile kunyoa inakuwaje ? Mimi binafsi ukija saloon nikunyoe zile kuna njia mbili tu,
1. Nizivute kwa koleo au
2. Niziwashie moto
MhHahahahhahah sijawahi bahatika kuziona
Jisikie tu umekaribia nyumban kuwa huru kutoa mawazo yakodu!
Ahsante JF kwa kunipokea kuwa member wa humu, ninapata raha sana nikiwa humu
hahahahahahahha mbavu zangu mieWake zetu wanazipenda sana so inakuwa nguma sana kuzinyoa kumridhisha mtu mwingine or rather mchepuko wakati hiyo ndio furaha ya wife..
hahahahahahah na kweli kabisa, ingekuwa kila anayekutokea lazima umkubali ingekuwa hatari sana.Wadad wa siku hizi?
Huku pesa yetu mnaitaka,huko malalamiko kibao
kwani mtu akikutokea lazima umkubali?
utakubalia wangapi? na hayo manywele
Mungu ameyaweka kukuokoa maana
huwezi kusema NO.
Haswaa
Tatizo unakataaga halaf siku unakuja kuomba ushauriHaswaa
Ni hao sio mie banaHampend kuona vitu vya ajabu ajabu? Mbona dushe mnaliona na wengine mpaka mnalinyonya na sperm mnameza
Waambie hao,tena hata mr.bean kwenye picha zake niliona kimashinekuna kimashine cha kunyoa
Eee ndio muwe wasafi sasaWanaume tumevamiwa leo kuna mwingine analamika boxer chafu huko
Siwezi kuwa na mwanaume mwenye manywele yametokeza nje,,naanzaje sasahahahahahahah na kweli kabisa, ingekuwa kila anayekutokea lazima umkubali ingekuwa hatari sana.
so awe anasema tu nooop na asepe maana sio kwa mipasho hii
nasikia kuna wengine wanazipenda so awaache tu jamani
teh teh nimecheka kweli leo