Wanaume ingieni huku Mara moja

Shikamoo brother...jana tu nikiwa Barbershop baada ya kunyoa nikaenda kuoshwa na mdada,maneno niliyoambiwa na huyo mdada nilistaajabu,nikamuuliza yeye ni kabila gani. akatamka kabila ambalo ni langu,sikuamini.hawa viumbe ni shida

Marahaba......
Hayo uliyokutana nayo ndio hali halisi iliyopo sasa hivi kuhusu hawa dada zetu...mama zetu
Na hali hiyo ipo kila mahali kuanzia maofisini mpaka mitaani....kila mahali wanawake wanasifika kwa sifa mbaya....

Kama wanataka heshima basi hawana budi kubadilika wao kwanza.....
 
Monicca nimegundua hujafunga ndoa ile juzi!!
Nakuja pm please!
 
Hivi monica nikutendee nn jaman
Uridhike kila nnachofanya kwako huridhki kila nimejitahid kadir niwezavo lkn mwenzang bado hujitikisi bas monica
 
Cpat picha mumeo anavyopata shida ndani ya iyo ndoa yako
 
Unalaana wewe kiumbe
 
jamani nini tena? pole moniccca km nimekukwanza maana ukweli siwezi kuuficha, kwenye kibindo cha moyo wangu wakati wewe uhai, kama umeolewa na mwanaume wa Dar, mwambie hbari za mastazi ila sisi kwetu bara upuuzi huo pereka pwani.
 
Hivi monica nikutendee nn jaman
Uridhike kila nnachofanya kwako huridhki kila nimejitahid kadir niwezavo lkn mwenzang bado hujitikisi bas monica
Basi nini? Funguka mwanaume acha kuumauma maneno! Au mdomo umefungiwa mawe nini?
 
t
tatizo mnataka kuingilia utaratibu wa Mungu.kila mmoja alipewa majukuku yake,
 


ivi mmeo vp kwny ndoa yenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…