Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
njoo nikupe darsa bureeeeeee
La kugoma? Staki.
njoo nikupe darsa bureeeeeee
La kugoma? Staki.
hahahah faida za kugoma wazijua moja inaongeza ujaaji wa waleti lol
La kugoma? Staki.
Me nagoma pia
Id yako inapingana na maneno yako...
Hivi leo tumesalimiana? njiwa nlomtuma akuletee ua hajarudi, nimeingiwa na dukuduku na fadhaa yenye mhemko wa bashasha. U buheri weye?
Hivi leo tumesalimiana? njiwa nlomtuma akuletee ua hajarudi, nimeingiwa na dukuduku na fadhaa yenye mhemko wa bashasha. U buheri weye?
Hivi leo tumesalimiana? njiwa nlomtuma akuletee ua hajarudi, nimeingiwa na dukuduku na fadhaa yenye mhemko wa bashasha. U buheri weye?
Aiseee..! Hebu endeleza kidogo hayo mashairi nipate raha mtoto wa mwanaume mwenzio..
#Teambazazi bhana.
Kwahili utagoma mwenyewe! Wengine kuhonga ni jadi yetu