Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,109
- 173,907
Bila sheria kama una upendo na mumeo utaweka mzigo mezani. Baba flani mi nishapokea mzigo wangu tufanyeje huu mwezi. Mnaweka malengo na utekelezaji sawa.Halafuu unajitahidi kweli kuwafafanuliaa vizurii Ni vile tuu hawataki kuelewaaa....wanawake wanaojielewa hawezi muachia mumewe majukumu yote Kama naye anakipato kinachoruhusuu...Ila isiwee sheriaa sasaa...na always ikiwaa ni utaratibu lzma Mambo ya backfire tuu...wanaume timizeni majukumu yenuu kwa uwezo wenu.