Wanaume ifike mahali tukubali ukweli hatuwezi kupingana na asili, Mwanamke ni lazima ahudumiwe

Nakubaliana na wewe asilimia 100 wanaume wapaswa ku play part yao. Je vipi kuhusu madumejike yasiotaka kutekeleza wajibu wao wa asili ?!

Mwanamke anaejielewa ni yule anaetimiza majukumu yake ya asili. Nyie wa kupiga simu "Amekunywa maziwa ?!" Huku mkitembeza makalio maofisini Sio wanawake ni jinsia mpya ya madumejike zao la feminism ambao hakuna mwanaume mwenye akili ataoa hizo takataka kwanza haya madumejike yana drama nyingi, ujuaji mwingi.
Sasa jamani tusifanyee kazi?...Ni Kama vile wanaume wasiojielewaa pia wapoo na wanawake wasiojielewaa piaa wapoo.. oeni wa kufanana nao muone Kama mambo hayaendi..
 
What does she offer???

Hilo ndo swali ilibidi umalizie chini pale...

Sababu kuhudumia iwe gari au nyumba inaendana na thamani yake???

Range Rover huwezi ipa huduma sawa na vits

Swali ni huyo mwanamke anaongeza nini kwenye Maisha ya mwanaume wake.Huwezi weka service ya million 5 kwenye vits old model labda km unakichaaa...

Mwishowe niseme huduma km anastahili

Sasa usiniambie yeye anatoa stress au presha which is common
 
Sasa jamani tusifanyee kazi?...Ni Kama vile wanaume wasiojielewaa pia wapoo na wanawake wasiojielewaa piaa wapoo.. oeni wa kufanana nao muone Kama mambo hayaendi..
Kama mnafanya kazi mantiki ya kuhudumiwa iko wapi ?! Na mantiki ya kuolewa iko wapi ?! Si mnaweza kuendesha maisha yenu kuweni masingle mothers (kama ambavyo hali ilivyo)

Yani ufanye kazi na uhududiwe pia, hebu toweni ukichaa wenu hapa. Mnawaza kwa kutumia ubongo au matakoo
 
Kama mnafanya kazi mantiki ya kuhudumiwa iko wapi ?! Na mantiki ya kuolewa iko wapi ?! Si mnaweza kuendesha maisha yenu kuweni masingle mothers (kama ambavyo hali ilivyo)

Yani ufanye kazi na uhududiwe pia, hebu toweni ukichaa wenu hapa. Mnawaza kwa kutumia ubongo au matakoo
Halafu upo na ukali usio hata na logic😄😄😄😄sorry kwa kila kitu mkuuu relax....
 
Weeee tuacheeeee...tulisomeshwaa na wazazi wetuuuu...si muoee hao wamama wa nyumbani?
Ndio tuliowaoa mbona ulikua hujui, nani aoe lidumejike kutwa kupuyanga likirudi lijejaa stress. Mwanaume akitoka kutafuta apaswa akute amani na upendo nyumbani, sasa ukioa lidumejike si kujitafutia majanga.

Mwanamke mwenye ajira hata kumstimulate ni ngumu anawaza kazi mda wote, anawaza kupandishwa cheo mda wote liko ngangari kama lidume yani hana utamu wa mwanamke ni lidude dude tu dumejike fulani, sasa la kazi gani hilo.
 
Wenzako wameoa madanga huko
Hahahah. Waacha wanaume wahenyeke kulea familia huku hela ya mke wake itumike kuhonga wanaume wenzie. Hela ikiwa haina majukumu lazima itafutiwe majukumu nje ya familia. Narudia tena, kama anafanya kazi mchango wake uonekekane kwenye familia. Ndio maana unakuta mke na mume wanafanya kazi lakini maendeleo hakuna kabisa, kumbe mmoja ni kupe.
 
Kuna wanawake ni wa mama wa nyumbani 100 lakini wanashindwa majukumu yao , kutwa kupiga umbea. Nina mifano 2 ya kaka zangu na 1 wa binamu yangu kabisa. Ndoa zimewashinda. Mmoja ndoa imevunjika mwezi wa 10 mwaka jana, mingine miaka 3 na mwingine miaka 6 iliyopita. Walikuwa wanapata kila kitu lakini walikuwa hovyo kuwahi kutokea. Omba tu upate mke mwema , awe anafanya kazi au hafanyi, kikubwa ni heshima.
 
Kama mnafanya kazi mantiki ya kuhudumiwa iko wapi ?! Na mantiki ya kuolewa iko wapi ?! Si mnaweza kuendesha maisha yenu kuweni masingle mothers (kama ambavyo hali ilivyo)

Yani ufanye kazi na uhududiwe pia, hebu toweni ukichaa wenu hapa. Mnawaza kwa kutumia ubongo au matakoo
Single mothers wengi ni wanawake wenye umri mdogo tu ambao hawafanyi kazi. Wanaofanya kazi wengi tu wameolewa . Mtaani kwangu wanawake wote wanafanya kazi na wameolewa, na wana good life. Waume zao na wenyewe wana vipato vya maana , nyumba tena si za kitoto na apartments za kutosha. Oeni wa kufanana nanyi.

Juzi juzi tulikuwa kwenye everning CEO reception , kuna waziri waa nchi moja alikuja kukutana nao nyumbani kwa balozi, wake zao sio wa mama wa nyumbani hata. Hapo ni top CEOs wa makampuni makubwa sasa wewe mwenzangu na mimi tafuta saizi yako.
 
Kumekua na nyuzi nyingi za baadhi ya wanaume wakiwa wanalalamika wanawake wa kizazi hiki licha na wao kujishughulisha hawana mchango wowote wa kifedha kwenye familia

Kwa upande wangu me naona malalamiko haya hayana mantiki yoyote coz kiasili mwanamke hajaumbwa kutoa . Asili ya mwanamke ime mshape mwanamke kuhudumiwa na kutunzwa

Hata kama mwanamke anafanya kazi na pengine ana kipato kukuzidi kamwe kwenye akili yako usije ukapigia mahesabu pesa yake huko ni kupoteza muda na kutafuta kudharaulika

Tutalalamika sana kwamba wanawake ni selfish lakini hatutaweza kubadilisha kitu. Acha mwanamke atoe kwa moyo wake na sio kum-bebesha majukumu

Mwanaume ukitaka kuingia kwenye serious R/ship bhac akilini mwako ujue unaingia kwenye majukumu hakuna mahusiano yatadumu kama utakua legelege

Jambo la msingi kwa sisi wanaume ni kufanya kazi kwa bidii sana ili kulinda status yako kama mwanaume na pia kwa ajili ya kuweza kuhudumia familia na kwa maendeleo yako binafsi

Malalamiko huku mitandaoni hayatasaidia kitu hatuwezi kubadilisha kitu na wala kupingana na nature
Hakuna kosa kubwa Kama kuku bariana na hakinsawa hakinsawa ndiyo mzizi
 
Mtoa mada katika karne hii ukitaka kila jambo tufanye kwa kuangalia asili tutafeli sana. kwa sababu asili inasema mwanaume atafute kwa jasho na mwanamke azae kwa uchungu.. ila leo hii mwanamke nae anatafuta kwa jasho, manake anafanya kitu ambacho kiasili inabidi afanye mwanaume..

leo hii mwanaume anashindana na mwanamke kwenye soko la ajira kupata kazi, soko ambalo tukifata asili inabidi liwe na ushindani kati ya mwanaume na mwanaume ila sio mwanaume na mwanamke.

mwanamke siku hizi anapewa kipaumbele katika kuajiriwa, mwanaume anapigwa bench, bado unataka tufuate asili?

ukweli ni kwamba mpaka leo hii wanawake kwa wanaume hatujajua jinsi ya kujiadjust tunapokua kwenye mahusiano watu wawili ambao wote tunapata kipato.

adjustment ya majukumu lazima itokee pindi mwanaume anapokua na mwanamke mfanyakazi au mfanyabiashara sababu kitendo cha mtu kujihusisha na shughuli yoyote ya kiuchumi manake katoka katika kundi la WATEGEMEZI.

asili inasema mwanamke ndie mwenye jukumu la kulea watoto na kuitunza nyumba kwa ujumla. huyu mwanamke anapovua hili jukumu na kumvika mwanamke mwenzake ambae ni HOUSE GIRL , na kujivika jukumu la kiume la KUFANYA KAZI, tayari ameshajivika na majukumu ya kuihudumia familia yake aloijenga na mumewe.

tukifuata akili ya mleta uzi, tujiulize hivi msaada wa mwanamke ni upi kwenye familia kama mwanamke halei watoto wala hachangii chochote kwenye familia, kazi yake ni kwenda ofisini na kurudi nyumbani kuuliza watoto wanaendeleaje. yani anauliza swali ambalo baba inabidi aliulize.

tukisema tukubali mwanamke MFANYAKAZI pesa zake zisihusike kuendesha familia, tujiulize ni nani wanaotakiwa kunufaika na hizo pesa zake?

tujiulize pia kama hayupo kwenye malezi ya watoto wala hayupo kwenye gharama za uendeshaji wa familia, huyu mwanamke yupo wapi ambapo panamuhusu zaidi?


KAMA MWANAUME ANAFANYA KAZI ILI AIHUDUMIE FAMILIA, MWANAMKE ANAFANYA KAZI KWA DHUMUNI LIPI?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

Akili kubwa
 
Single mothers wengi ni wanawake wenye umri mdogo tu ambao hawafanyi kazi. Wanaofanya kazi wengi tu wameolewa . Mtaani kwangu wanawake wote wanafanya kazi na wameolewa, na wana good life. Waume zao na wenyewe wana vipato vya maana , nyumba tena si za kitoto na apartments za kutosha. Oeni wa kufanana nanyi. Juzi juzi tulikuwa kwenye everning CEO reception , kuna waziri waa nchi moja alikuja kukutana nao nyumbani kwa balozi, wake zao sio wa mama wa nyumbani hata. Hapo ni top CEOs wa makampuni makubwa sasa wewe mwenzangu na mimi tafuta saizi yako.
Unamanisha tuige mfano wa hao "CEO" wa nchi za "nje" ambao wana ndoa za mikataba na hata ndoa za jinsia moja ?! Ndio tuige kutoka kwao ?

shida ya Mwafrika ni kuiga iga acha uboya dogo huko kwao feminism imeharibu jamii zao na hakuna masculinity wote ni kama wanawake tu.
 
Unamanisha tuige mfano wa hao "CEO" wa nchi za "nje" ambao wana ndoa za mikataba na hata ndoa za jinsia moja ?! Ndio tuige kutoka kwao ?

shida ya Mwafrika ni kuiga iga acha uboya dogo huko kwao feminism imeharibu jamii zao na hakuna masculinity wote ni kama wanawake tu.
Sio wa nchi za nje, CEO wa hapa Tanzania ndio waloalikwa. Wa Ulaya hawakuja na wake zao
 
Back
Top Bottom