The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,876
- 5,443
Acha hizo mshikaji wangu, wote tunajua wanaoweza kufuata miongozo ya mwanaume ni wanawake, nyie madumejike ni jeuri na wajuaji full mitifuano. Oya alafu acha miyeyusho kujifanya eti na nyie mko kama wanawake asili wakati ni mabandidu kinyama.🤣🤣🤣🤣🤣 Eti madume jike!!
Nyie mkishashika nafasi zenu vyema mbona sie hatuna taabu, tunawafuata tu viongozi wetu.
Nyie endeleeni "kuchakarika" mkiwa na nyeg*e mnaweza kusagana tu au sio mchizi wangu.