Vitoto hivyo vinavyolalamika, ajira ngumu hela hamna na wao wanatafuta mishangazi ya kuwalea kwaninj wasilalamike, anayejitambua huwezi kumsikia akilalamika labda achezewe faulo, au goli la offside hapo atalalamikaKumekua na nyuzi nyingi za baadhi ya wanaume wakiwa wanalalamika wanawake wa kizazi hiki licha na wao kujishughulisha hawana mchango wowote wa kifedha kwenye familia
Kwa upande wangu me naona malalamiko haya hayana mantiki yoyote coz kiasili mwanamke hajaumbwa kutoa . Asili ya mwanamke ime mshape mwanamke kuhudumiwa na kutunzwa
Hata kama mwanamke anafanya kazi na pengine ana kipato kukuzidi kamwe kwenye akili yako usije ukapigia mahesabu pesa yake huko ni kupoteza muda na kutafuta kudharaulika
Tutalalamika sana kwamba wanawake ni selfish lakini hatutaweza kubadilisha kitu. Acha mwanamke atoe kwa moyo wake na sio kum-bebesha majukumu
Mwanaume ukitaka kuingia kwenye serious R/ship bhac akilini mwako ujue unaingia kwenye majukumu hakuna mahusiano yatadumu kama utakua legelege
Jambo la msingi kwa sisi wanaume ni kufanya kazi kwa bidii sana ili kulinda status yako kama mwanaume na pia kwa ajili ya kuweza kuhudumia familia na kwa maendeleo yako binafsi
Malalamiko huku mitandaoni hayatasaidia kitu hatuwezi kubadilisha kitu na wala kupingana na nature
Umeona sasa mkuu Huo Uanaume sio habari za kusubir mke naye aleteJogoo halalamiki anapompatia mtetea chakula na kumfunika na mbawa wake,pia swala dume anamiliki majike 30 kazi yake Ni kuyatafutia malisho tu Basi na kula mbususu
Yeah mkuuVitoto hivyo vinavyolalamika, ajira ngumu hela hamna na wao wanatafuta mishangazi ya kuwalea kwaninj wasilalamike, anayejitambua huwezi kumsikia akilalamika labda achezewe faulo, au goli la offside hapo atalalamika
Yeah very trueWanaopinga na kupiga kelele ni wavulana na mashoga na ukifwatilia hata kipato cha kuhudumia familia hawana na hata kama wanacho bado hawahudumii familia,mtaani hali ni tofauti sana wanawake wanahudumia zaidi familia kuliko wanaume.
Mkuu simamia majukumu yako kikamilifu kwanzaHakika, kama anafanya kazi afu ati chake ni chake huku watoto wanahudumiwa na house girl si ukichaa huo. Anafanya kazi ya nini kama anahudumiwa kila kitu umalaya tu unawasumbua.
nyie madume jike zitawarudi lini ili myatimize majukumu yenu ya asili kama mnavyotaka wanaume tutimize majukumu yetu ya asili.
Mimi nimemuomba aniazime M7 nikuze mtaji kaninyima na gubu juu.Wakati yeye bank account yangu ana uhuru nayo 24hrs.Na tuliapa mbele ya kadamnasi sisi ni kitu kimoja,mwili mmoja na kila kitu tutashare.Au sikuelewa pale padri aliposema sisi ni mwili mmoja isipokua kwenye hela kila mtu ana mwili wake🤣🤣Ni kweli mkuu fedha ya mwanamke ni ya kwakwe mwenyewe.
Hayo majina ya uswahilin usitegemee kabisaHio ni kawaida kwa wakina Michelle, Loreen au Scarlet ila usitegemee Kinoge,Sofia au Tabu akulipie bills.
Kwa hiyo ikitokea umefilisika au umepoteza kazi mkeo akomae na msimamo wake wa pesa yake ni yake utakubaliana nayeUmeona sasa mkuu Huo Uanaume sio habari za kusubir mke naye alete
Utachelewa
Anaongea nadharia tu. Hajui jinsi ya maisha.Kwa hiyo ikitokea umefilisika au umepoteza kazi mkeo akomae na msimamo wake wa pesa yake ni yake utakubaliana naye
Kumekua na nyuzi nyingi za baadhi ya wanaume wakiwa wanalalamika wanawake wa kizazi hiki licha na wao kujishughulisha hawana mchango wowote wa kifedha kwenye familia
Kwa upande wangu me naona malalamiko haya hayana mantiki yoyote coz kiasili mwanamke hajaumbwa kutoa . Asili ya mwanamke ime mshape mwanamke kuhudumiwa na kutunzwa
Hata kama mwanamke anafanya kazi na pengine ana kipato kukuzidi kamwe kwenye akili yako usije ukapigia mahesabu pesa yake huko ni kupoteza muda na kutafuta kudharaulika
Tutalalamika sana kwamba wanawake ni selfish lakini hatutaweza kubadilisha kitu. Acha mwanamke atoe kwa moyo wake na sio kum-bebesha majukumu
Mwanaume ukitaka kuingia kwenye serious R/ship bhac akilini mwako ujue unaingia kwenye majukumu hakuna mahusiano yatadumu kama utakua legelege
Jambo la msingi kwa sisi wanaume ni kufanya kazi kwa bidii sana ili kulinda status yako kama mwanaume na pia kwa ajili ya kuweza kuhudumia familia na kwa maendeleo yako binafsi
Malalamiko huku mitandaoni hayatasaidia kitu hatuwezi kubadilisha kitu na wala kupingana na nature
Acha akili za kimama mkuu, wanawake ndio wana hulka ya kubeza wanaume ati "simamia majukumu yako" aliekwambia sisimamii majukumu yangu ni nani ?! Au family yangu inahudumiwa na wewe ?!Mkuu simamia majukumu yako kikamilifu kwanza
Ndo uje na hayo malalamiko yako
Hii pointi mkuuAcha akili za kimama mkuu, wanawake ndio wana hulka ya kubeza wanaume ati "simamia majukumu yako" aliekwambia sisimamii majukumu yangu ni nani ?! Au family yangu inahudumiwa na wewe ?!
Sio tu kusimamia bali NATIMIZA majukumu yangu ipasavyo. Labda wewe nikuulize unapata nini kua feminist la kiume ?!
I think mke akiwa mshahara wake na mume akiwa na mshahara wake, mwanaume anatakiwa agharamie chakula, maji na sehemu ya kulala(kupanga au kujenga) ila Kwa upande wa urembo na kuwahudumia wazazi wa upande wa mwanamke, mshahara wa mwanamke ndo ufanye hiyo kazi unless kama Hana ajira maana wazazi wake ndo waliomsomesha so huna majukumu nao.
Hakuna anaepinga kumuhudumia na kumtumza mkewe, ila mke anapohudumiwa nayeye atimize majukumu yake ambayo ni kulea.Nasema hv
Mwanamke ni lazima Ahudumiwe
Ukishaanza kumbebesha mizigo ushishangae na yeye akitafuta mahali pa kuitua ndo ile unashangaa mara aanza kuchepuka ili kupata ahueni
Usikwepe majukumu yako mkuu
Na wanamake wanaojitambua hufanya lipi kati ya haya, 1. Kutimiza wajibu wao wa kulea au 2. Kutelekeza watoto kwa mahouse girl wao kutwa wakiwa maofisini na wanachokipata hakionekani ?!Yeah mkuu
Wanaume wanaojitambua huwez kuta hata siku moja analalamika habari za mke kuto ku contribute kwenye familia ...
Mke ku contribute ni Apende mwenyewe lakini sio jukumu lake
Ukianza kushindana na mwanamke kutaka muwe sawa kwenye kuhudumia familia ujue kuna nut zishaanza kulegea kichwani kwako
Ndio tunaangalia kuanzia mahusiano kama haupo responsible kipindi hicho huwezi nishawish utakua responsible ukinioaMkuu ukishaingia kwenye mahusiano hata kabla ya ndoa Automatically umeingia kwenye majukumu coz katika vitu ambavyo wanawake wanavipa consideration kabla hajakubali kuolewa ni kuona kama huyo mwanaume anaweza kubeba majukumu ya kifamilia na kumtunza
Sasa ukisema anayepaswa kuhudumiwa ni mke huku kwenye mahusiano ya kawaida kabla ya ndoa utakuwa huna vigezo vya kumshawishi mwanamke akubali kuwa mke wako
Mtasemaa yoteee...lakini ukweli unabaki pale pale play your part...mwanamke anayejielewaa hawezi kukuachiaa majukumu yote peke yakooo..Je nyie wanawake mnatimiza majukumu yenu ?! Au ndio mnakazi ya kulea kwa bluetooth, mkipiga simu "Mtoto amekunywa maziwa ?!"
Mnavyoshupaa kutuambia tutimize majukumu yetu na nyie timizeni majukumu yenu ya asili kujifanya madume jike haitawasaidia
Nakubaliana na wewe asilimia 100 wanaume wapaswa ku play part yao. Je vipi kuhusu madumejike yasiotaka kutekeleza wajibu wao wa asili ?!Mtasemaa yoteee...lakini ukweli unabaki pale pale play your part...mwanamke anayejielewaa hawezi kukuachiaa majukumu yote peke yakooo..