UmenenaTheory ya mahusiano ni rahisi sana kila mtu anafaulu, njoo kwenye practical ndo balaa.
Hayo yote uliyoandika unaweza kufanya na bado ukamegewa tu cha msingi umpate mwanamke ambaye kashakubali kua na wewe bila kujali hali
Dada anatoka kbla moja maarufu kwa mambo ya kugegedana liko kule kanda ya ziwa a. K. a tetemekoKwa experience hii kitu ni hulka tu ya mtu na mtu, kuna wanawake ni wavumilivu hata mwanaume afanye nini watabaki tu kuwa loyal na wengine kwa kua hivyo mpaka wana manage kusababisha guilty consciousness kumfanya mwanaume abadilishe his ways, na kuna wale ambao hata uwafanyie nini hawawezi kubadilika hususan ni wale ambao tayari kuna picha wamesha zitengeneza vichwani mwao kwa jinsi wanavyo taka kuishi especially kwenye maswala ya mapenzi. Mtoa mada hapa nnaweza kusema hii mada umeitoa kihisia zaidi kulingana na mahitaji yako ambayo ukweli ni kwamba wapo wengi hupenda kuji fariji wanapo ambiwa wanayo hitaji kuyasikia....mtazamo wangu ni kwamba itahitaji zaidi utayari wa kuingia kwenye mapenzi ya kudumu na mpenzi mmoja, lakini kama moyo haujaridhia basi ni hata umnunulie dunia nzima na maji yake bado tu ata gegedwa mahali kwengine au kama kawa... kupanga ni kuchagua
Nawasilisha
Me naamini kwenye mahusiano hakunaga ku "complete" each other, bali kuna ku "balance". Mmezaliwa tofauti, mmelelewa tofauti, mmekuwa exposed kwenye mazingira tofauti na baada ya kujitambua, kila mtu alifanya choices zake, so sitegemei watu mfananane kwa kila kitu. Sasa kwenye mahusiano lazima ujifunze kusacrifice, lazima ujifunze kucompromise, lazima ujifunze "kumbebea" mwenzako mapungufu yake. Kwa sababu tuna backgrounds tofauti, doesn't mean kila mtu astick na background yake. Kuna baadhi ya vitu lazima uvibadilishe ili muende sawa na mahusiano yenu. Ukiona haka kakitu kataboresha mahusiano yetu, si unaka-adapt tu, kama si kitu kibaya wala cha kuzidi uwezo wako. Yes kuna vitu me naweza nikawa napenda mwenzangu anifanyie, ila yeye havifanyi maybe. Sitolalamika au kununa maybe, but it doesn't change the fact kwamba navitamani na nikifanyiwa kwa kweli tumahaba tutanoga zaidi tu lol. Kwenu hamna background ya kusema "Ahsante", mkeo hatopigana usipomwambia "Ahsante", Ila ukijifunza kumwambia "Ahsante", utaona mwenyewe mambo yatakavyonoga zaidi
Tatizo imekuwa kama mahusiano ni ya mwanamke tu. Kila siku mwanamke mfanyie hili mumeo, mfanyie lile. Hivi jamani ndoa ni efforts za mwanamke peke yake? Mwanaume hana cha kumfanyia mkewe? Sisi hatupendi kuwa spoiled? Me ni muumini mzuri wa team work, kila mmoja ajitahidi kufanya chochote anachoweza as long as anaona kitaboresha mahusiano yake. Wapeni mahaba wake zenu jamani, maisha ndo haya haya eti lol
Samahni I will ban you soon for saying the truthKabisa.
Na mwisho wataishia kutombwa tombwa tu kama kuku.
Kwani hujajua kuwa huo ni uti wa mgongo wa mahusiano ni vgmu kuutendea haki huwez kutekelza asilimia zoteKwa namba moja sichepuki hata kidogo, tena nakituliza hadi usiamini majicho yako.
Safi sana.Kwani hujajua kuwa huo ni uti wa mgongo wa mahusiano ni vgmu kuutendea haki huwez kutekelza asilimia zote
ila wanaume wengi wanakwambia nani awe mtumwa wa mwanamke..... Hayo yooote uliyo yataja wanaume wachache saana ndiyo wanaweza kuwatekelezea wenzi wao....na si km uwezo hawana wanao Sana ila ubabe mwingi...kwasabab anajiona anapesa ni handsome anaona kesha maliza kila... Hamna mwanamke anaeweza kufurukuta kwakeee...Sisi ni Binadam na ubinadam wetu unakamilshwa kwa mapungufu tuliyonayo you can't be financially vry supportive to your loved one at the same time you have a really and complete love to the same person there is a point where you will complete your humanity so let's be humble to each of usSafi sana.
Acha visingizio, mliagizwa mtupende, unaanzaje sasa kuacha kutupenda.Sisi ni Binadam na ubinadam wetu unakamilshwa kwa mapungufu tuliyonayo you can't be financially vry supportive to your loved one at the same time you have a really and complete love to the same person there is a point where you will complete your humanity so let's be humble to each of us