Nimeelezea upande wa jukumu la Mume/mpenzi kwa Mkewe au Mpenzi Hapo Sasa Automatically mwanamke naye anaplay part yake kama kawaida.Wanawake wapo so sensitive.. ukimdharau usimjari Hakika nyumba huingia Ruba.Sasa mwanamme unapomjari namna hiyo unasababisha kupunguza au kurejesha nia ya Mahusiano.Kwani Nani Hajui kama ukiwa NA mpenzi wajibu wako Ni nini.Inajulikana wazi.But nimeelezea hayo Ili kupunguza au kutokomeza rate ya Infidelity Kwenye mahusiano ya kizazi hiki.Kwani nimegundua Wanaume wengi wangali na wapenzi wao huanzisha mahusiano nje yaani Michepuko NA kuwajari sana NA kusahau wenza wao Hali hii humfanya mwanamke kugundua tofauti nae kuanza kuchepuka.Sasa nini kinatokea Ni kwamba Mwanaume akigundua mpenzi anamsaliti maamuzi yao Ni magumu mno Mfano kuua kulawiti wagoni wao au kuwapiga NA kuwajeruhi..kesi hizi zipo sana sana Mahakamani.Nini chanzo Ni kutokujari.Mwanaume una nafasi kuubwa sana kutokomeza Hali hii.NA jamii yetu ikawa salama NA pia kuepusha watoto wa mitaani au Single parents.Please take Action Now.Umeandika vema.
Ikiwa mapenzi yote haya yanatoka kwa mwanaume, jukumu la mwanamke kwenye uhusiano huu wa kimapenzi/kingono litakuwa ni nini? Ama ku-dyudyuka tu?
kha!Katafute uzi mmeorodhesha mnavyotaka kufanyiwa.
Nani kasema?Wanaoshikilia Dunia Ni Wanawake..Mkeo anaweza akaamua uishi au usiishi.Kumbuka anapiga Chakula chako.Take care just be humble
Huo Ndo Ukweli.Mwanamke ana nafasi kuubwa sana ya kufupisha maisha yako aliamua.Fanya utafiti.Wanaume wengi wanakufa vifo vya ajabu Tena mke akisema Ni pressure ya kupanda NA kushuka Nani anafanya postmotam.. unazikwa Asubuiii NA mapema.So punguzeni mapepeNani kasema?
Ndugu yangu.Kila kitu Hapa Duniani Kina Kanuni zake.Mfano Kuna hii Familia ya Barack Obama ukiangalia au kusikia Historia yao ya kimapenzi unaweza pata faida kidogo.Nimewaongelea hao kwa sababu wanajulikana karibia NA Watu wengi.Sio kwamba hawatofautiani au kwa nini Mpaka Leo wapo pamoja tukizingatia walitoka from point zero to hero.Wamejaribu NA kufuata kanuni za mahusiano.Sheria hizo zipo Hata MTU unapotaka kusonga Ugali.Unachemsha kwanza MAJI unachukua MAJI kidogo ya baridi unayakorogea unachanganya NA MAJI ya moto..unakorogaa unaacha mchanganyiko huko uchemke vizuri.Ndio unasonga.Kinyume NA Hapo Sio ugali tena utakuwa mbichi na hutaula .Same to relationship.Ukikosea kanuni Ni.majanga.Tusikimbie ukweliNaona ameandika siasa za mahusiano ya kimapenzi.
Uhalisia wa maisha ya mahusiano ya kimapenzi ni zaidi sana ya alichoandika. Mahusiano ya kimapenzi ni sawa na kuimba, lazima mpokezane.
wa
IPO ivi.Ukiona imetokea hivyo jua Wewe Mwanaume una shida mahali.Nimeshuhudia wababa wengi wanatoa Huduma kama hizo unazosema but.Muda NA wake/wapenzi wao hawana.Eti simply foz they provide materials.Kutake care Ni kimwili NA kidogo.Karibu hayo uone faida.Babu kuna wanawake thy treated like queen/an Angel lakini kupigiwa ni suala mtambuka.....Hivi una taarifa Mwanamke anaweza kuamua tu kufanya na mtu mwingine hata yeye hamjui na unampa hizo care mnazoambizana hapa.Jidanganyeni
Nimeelezea upande wa jukumu la Mume/mpenzi kwa Mkewe au Mpenzi Hapo Sasa Automatically mwanamke naye anaplay part yake kama kawaida.Wanawake wapo so sensitive.. ukimdharau usimjari Hakika nyumba huingia Ruba.Sasa mwanamme unapomjari namna hiyo unasababisha kupunguza au kurejesha nia ya Mahusiano.Kwani Nani Hajui kama ukiwa NA mpenzi wajibu wako Ni nini.Inajulikana wazi.But nimeelezea hayo Ili kupunguza au kutokomeza rate ya Infidelity Kwenye mahusiano ya kizazi hiki.Kwani nimegundua Wanaume wengi wangali na wapenzi wao huanzisha mahusiano nje yaani Michepuko NA kuwajari sana NA kusahau wenza wao Hali hii humfanya mwanamke kugundua tofauti nae kuanza kuchepuka.Sasa nini kinatokea Ni kwamba Mwanaume akigundua mpenzi anamsaliti maamuzi yao Ni magumu mno Mfano kuua kulawiti wagoni wao au kuwapiga NA kuwajeruhi..kesi hizi zipo sana sana Mahakamani.Nini chanzo Ni kutokujari.Mwanaume una nafasi kuubwa sana kutokomeza Hali hii.NA jamii yetu ikawa salama NA pia kuepusha watoto wa mitaani au Single parents.Please take Action Now.
Mimi Sio Mzee Ni Mdada bana....Kumegewa au kutomegewa Inategemea Mwanamke ana huruma na wewe kiasi gani....hilo ndo jibu sahihi mzee hizi unazotuambia ni siasa na vitu vya kukupa unafuu wa muda mfupi tu....Huruma yake na malezi yake ndiyo ponapona yako.Mwanamke ana Vinasaba vya Kinyonga.Anaweza akatamani tu kumegwa na Jitu nene lenye kitambi,anaweza akaamka katamani kumegwa na Baunsa,anaweza akaamka katamani kipigo kikali tu cha mpaka kuchubuliwa......sasa wewe kazana na kufungua milango mara cjui nini...!Ni Suala la Mungu tu amjaze huruma dhidi yako.Kuna watu wamewafanyiawanawake wao mazuri zaidi ya hayo na kupigiwa walipigiwa tu tena sana!!Ni huruma yake ndo itakuwa msaada kwako
Huruma wapi Wewe.Halafu Wewe Unaonekana Ni mbishi wa kujifunza.Sasa Ebu kuanzia Leo kitandani mridhishe mhudumie NA Kila kitu.Yaani hatachepuka Hata aje Trump...Kumegewa au kutomegewa Inategemea Mwanamke ana huruma na wewe kiasi gani....hilo ndo jibu sahihi mzee hizi unazotuambia ni siasa na vitu vya kukupa unafuu wa muda mfupi tu....Huruma yake na malezi yake ndiyo ponapona yako.Mwanamke ana Vinasaba vya Kinyonga.Anaweza akatamani tu kumegwa na Jitu nene lenye kitambi,anaweza akaamka katamani kumegwa na Baunsa,anaweza akaamka katamani kipigo kikali tu cha mpaka kuchubuliwa......sasa wewe kazana na kufungua milango mara cjui nini...!Ni Suala la Mungu tu amjaze huruma dhidi yako.Kuna watu wamewafanyiawanawake wao mazuri zaidi ya hayo na kupigiwa walipigiwa tu tena sana!!Ni huruma yake ndo itakuwa msaada kwako
Jaribu hizo kanuni Halafu uje.Usiache Hata moja.NA usisahau ya kuwa naye Karibu NA kumridhisha Kwenye tendo.Wengine huenda Dk 3.Are you kidding.Utasalitiwa tu Hata umjengee nyumba.Kama una Matatizo kiafya nenda Hospitalini Lakini usije Hapa Eti nimempa Kila kitu kanisaliti.Pia kama aliwai kukulalamikia Eti unanuka Domo ilo nalo Ni kosa.Fanya hima tibu ilo Tatizo wanawake wengi kwao iyo Ni sumu utakimbiwa mchana kweupe Hata uwe tajiri vipi.Mwamba ngozi huvutia kwake
Basi kama sio kweli ngoja basi nikuoe ili uoneSio kweli.Jichunguze vizuri.Unampa Kila kitu but Mpaka Jpili Eti Upo busy NA warsha semina makongamano NA mikutano.what the hell!!



Haa haa haaa .Yaani huyu keshatoswaAiseee!! Na ndio hao msoisha kuwaandikia thread humu au unaongelea wepi!! Mara mke wangu hivi mara vile!!
Mbona wake za watu ndio wabandika kope wazuri, asipendeze kisa kaolewa!!
We endelea tu na dua lako la kuku, kifaranga ashanyakuliwa hivyo!
Ndugu yangu.Kila kitu Hapa Duniani Kina Kanuni zake.Mfano Kuna hii Familia ya Barack Obama ukiangalia au kusikia Historia yao ya kimapenzi unaweza pata faida kidogo.Nimewaongelea hao kwa sababu wanajulikana karibia NA Watu wengi.Sio kwamba hawatofautiani au kwa nini Mpaka Leo wapo pamoja tukizingatia walitoka from point zero to hero.Wamejaribu NA kufuata kanuni za mahusiano.Sheria hizo zipo Hata MTU unapotaka kusonga Ugali.Unachemsha kwanza MAJI unachukua MAJI kidogo ya baridi unayakorogea unachanganya NA MAJI ya moto..unakorogaa unaacha mchanganyiko huko uchemke vizuri.Ndio unasonga.Kinyume NA Hapo Sio ugali tena utakuwa mbichi na hutaula .Same to relationship.Ukikosea kanuni Ni.majanga.Tusikimbie ukweli